Nataka kufanya KAZI ya online, wanahitaji wanilipe kwa paypal au Debt card.
Kwa PayPal hawaruhusu kupokea Hela ila kutuma tu kwa Tanzania.
Nikijaribu kuingiza details za Debt VISA card yangu nayo wanasema haijaidhinishwa kupokea pesa kutoka nje. Je nifanyeje?
Kama wametumia used engine huo sio ubunifu ni ujuzi tu umetumika kuunganisha vipuli kadhaa ambavyo vimetengenezwa na watu wengine
Kama wakisema wamebuni shape mpya ya bodi ya gari pia sawa.
Tunahitaji ubunifu mpya unaotatua matatizo Katika jamii
asante kwa maoni yako
1. Kwa sasa hatuna machimbo ya asbestos Tanzania ila tulitumia bidhaa mbalimbali ambazo zilitengenezwa kwa absestos kwa miaka mingi iliyopita
2. Tanzania na dunia kwa ujumla inahitaji tafiti nyingi kwa matatizo mengi yanayotukabili na tafiti hizi zinahitaji hela hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.