habari wanaJF,
naomba kusaidiwa chaguo lipi ni sahihi kwa mhitimu wa shahada ya "BSc.BUSINESS INFORMATION SYSTEMS" kutokana na uhitaji wake katika mazingira ya kazi.machaguo ni kama yafuatayo:
1."Business analyst"
2."Database administrator"
3."systems analyst"
4."business consultancy"
unaweza...
habari wanaJF,
naomba kusaidiwa chaguo lipi ni sahihi kwa mhitimu wa shahada ya "BSc.BUSINESS INFORMATION SYSTEMS" kutokana na uhitaji wake katika mazingira ya kazi.machaguo ni kama yafuatayo:
1."Business analyst"
2."Database administrator"
3."systems analyst"
4."business consultancy"
unaweza...
Kwa bahati mbaya mwaka 2012 ulikuwa ni mwaka mchungu sana hasa ktk tasnia ya sanaa,wasanii kadhaa walitutoka na pia wengine kufikishwa mahakamani na wengine kutafutwa na polisi.Nawazungumzia waliokufa ni pamoja na KANUMBA,SHARO na wengine nisiowakumbuka.mara baada ya kifo cha sharo...
Tatizo la mpaka kati ya tanzania na malawi linaumiza vichwa sana viongozi wetu hv sasa.
ninachoshangaa nimetembelea google map nikatazama mipaka waliyoweka inaonesha ziwa nyasa lote lipo upande wa malawi tofauti na viongozi wetu wanavyo eleza.binafsi nahitaji serikali ilitolee ufafanuzi au mtu...
Ndg zangu wana JF naomba kusaidiwa mawazo katika biashara hii ya nguo za kike;
1. Mtazamo wako kama inalipa au hailipi
2. Location sahihi ni ipi
3. Nitarajie changamoto zipi?
Pia, kama unaushauri mbadala nitaupokea na kuufanyia kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.