Ukisoma ICT unaweza kupata ajira zipi? na Je utakuwa na uwezo wa kutengeneza website za kila namna from scratch na kutengeneza APP za kila namna?
Bila kusahau na kale kaujuzi ka kuhack system unayoitaka
Target yangu sio ajira mkuu ila target yangu ni yale maarifa yanayotolewa huko chuoni mkuu wangu hata nikichukua certificate nikaona maarifa yananitosha basi nitaishia hapo sababu target yangu ni kuwa business owner Sasa huwezi ukaendesha biashara kienyeji itaishia kufa tu sasa hata kama una...
Unaweza kunifafanulia kiundani zaidi mkuu juu ya hiyo kozi ninayoitaka naweza kuipata hapo UDOM then na vigezo vyangu kama nilivyoelezea kwenye Uzi wangu wanaweza kunipokea?
Habari wana JF najua hapa kuna wajuzi wa mambo mengi sasa mada yangu ni hii mimi kijana mwenzenu ninahitaji chuo kinachotoa basic certificate ya business administration kilichopo hapa Arusha mimi ni mgeni huku hivyo sijavijua vyuo kwa upande huu hivyo naombeni mnisaidie katika hilo wakuu pia...
Sawa ngoja tuone mkuu ila kwa swala hilo sidhani kama Ontario peke yake ataweza kumtoa bwana shaba kibwenzi pale kitini maana anatutambia kuwa TMT hata wakibaki watu wawili yeye atabaki kuwa mentor tu sasa nadhani kumtoa yule dictator shaba kibwenzi inabidi tumtafute Da Mange ahamasishe...
Ni upupu gani huu umeandikwa hakuna fact kwenye huu Uzi wewe utakuwa ni Ontario tu umekuja na ID nyingine ila nashangazwa umeandika mashudu tupu hakuna Yale maneno yako yaliyojawa sukari kama tulivyozoea Et tuwe tunasema ukweli kwenye group la TMT ni ukweli upi ambao mtakuwa tayari kuusikiliza...
Habari zenu wanajamvi najua humu kuna wadau wengi kwenye sekta ya IT mimi ninahitaji kupata ujuzi wa jinsi ya kutuma ujumbe kama ule wa TIGOPESA au Halotel yani zile jumbe zinazokuja na jina halafu hazina namba nahitaji kujua napataje huduma hiyo kwa ajiri ya biashara yangu kuongeza vionjo...
Are you seriously kwamba 151,000 ni pesa ndogo duuu asee wewe endelea nayo tu hiyo kampuni yako ngoja pesa yangu niende zangu kwa Ontario nikasake pips huenda nitadouble before week kuisha
Kuna ile system yao nimeona ya kuinvest inaitwa PAMM INVESTMENT unaiongeleaje ile na pia wana system ya kucopy trade zote unazizungumziaje ni bora au hasa tukianza na hii PAMM INVESTMENT unazizungumziaje kiongozi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.