Ni kweli Bongobongo lakini sijajua gharama za hizo cage ukilinganisha na Banda ni kipi ghali zaid ukizingatia sikuzote katika biashara tunatakiwa kupunguza gharama ili kuongeza faida (Minimize cost and maximize profit) Sorry for typing error
kaka Kubota umeishia wapi mbona kimya kumbuka watu wengi tulikuwa tanafuatilia saaana maada hii sababu ni muhimu saana na ingetusaidia wengi sana pls endelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.