Mwanzo nilitoe shukrani zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kunipa uhai huu adimu
Nije kwenye mada simba jumamosi imefungwa 3.0 na raj sio kuwa raj hawakustahili kupata ushindi mbele ya simba ila tatzo ni timu inavyocheza wachezaji wanaonekana kama wanamgawanyiko hawako pamoja pili kocha kukana kikosi...
SEHEMU YA PILI( 2) YA THREAD HII YA KUHUSU MASWALA YA NDOA
Karibuni katika makala hii ya ndoa tena leo ningependa kuwaletea kisa cha pili cha ndg yangu ambae hakupenda litajwe hapa jina lake.
Alianza kunuiambia mwanzo ndoa yake ilikuwa kama ya Adam na Hawa kwenye bustani ya edeni alifurahi...
Watu wengi leo tumebaki na tunajiuliza kwanini wimbi la kuvunjika kwa ndoa linakua kwa kasi sana mashauri Mahakamani kuhusu taraka yamekuwa Mengi kiasi kwamba yanataka kuzidi Mashauri ya kesi za Ardhi?
Siku moja alinifata ndugu mmoja akawa ananisimulia kisa chake mke wake amekuwa akimfumania...
UTEUZI WA YANGA JE WAPO SAHIHI>
Nimetama uteuzi wa Yanga kwenye nafasi mbalimbali kuanzi C.E.O mpy mpaka DIGITL MANEGER je wamepatia wapi na wapi wameteza>
naomba na mm kuchangia kdgo kuhsu hii ,ada ia ukweli kuna mda usemwe tu JPM likuwa na mapungufu yakeila nchi kam nchi Iliheshimika na pia mipango yke maka leo hakuna ambae hata kwa nusu yake ameweza kuivaa tofauti na kuwaaumiza wanyonge kwa ss kila mtu ana matamko yako akiamkaanapanga hili...
Hii Nchi ingefuta kitu kinacho itwa profesar maana ndo wanatuangusha sana iwe kwenye uchunguzi n.k sjui ndo mfumo wa elimu ulivyo ndo unazalisha watu kama hao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.