Recent content by Gellangi

  1. G

    Picha: Sanamu ya Nyerere Makao Makuu Umoja wa Afrika, ni yeye au lah?

    Ile sanamu haiakisi taswira ya Mwl.J.K.Nyerere hata kwa kidogo.Sifahamu kama kulikuwa na ulazima wa kuichonga tena voluntarily ilhali hatuna msanii sahihi? Je,Familia yake imeshirikishwa kikamilfu?Je,gharama zake zililipwa na nani kuanzia scratch hadi uzinduzi? Tunajazwa upepo huku tukitabasamu!
  2. G

    Tundu Lissu arejea Nchini asema ripoti ya CAG ufisadi ni uleule, mambo ni yaleyale

    Pascal,utakuwa umefanya jambo jema sana kama kweli utahojiana na huyu Mwamba.Wenye Akili zao wote wanamkubali Lissu kama Big Brain for our Country. Mungu anazo njia zake za kutuonyesha ishara.
  3. G

    Karatu: Mkutano Mkubwa wa hadhara wafana, Umati Mkubwa Wajitokeza

    Issue hakuwa bahati bali wizi wa kura/mchakato wa uchaguzi kuibwa na CCM kwa kumtumia Mahera na wakurugenzi. Mwizi wa kura ni mwizi wa fedha,period.
  4. G

    Hongereni sana bodaboda wa arusha kwa kuwafunga mdomo UVCCM

    Je,boda boda ni ajira?Kama ni ajira,ujira wa boda boda ni shilingi ngapi? CCM walituambia Mh.Lema hana nauli ya kurudi Tanzania toka Canada,karibu sasa wanaanza kupoteza maneno kutokana na hotuba yake.Pengine ni vema wanaanza kutafutia Gambo kazi ya boda boda maana kwenye Ubunge sahau kama...
  5. G

    Rais Samia Ondoa hiki kikokotoo kinawaumiza wastaafu

    Adhabu ya kutojitambua ni kuibiwa jasho lao kisheria (Kandamizi) baada ya Serikali kukopa/kuchota kinyemela fedha za wastaafu wetu na kujengea miradi isiyokuwa na tija bali sifa kwa wanasiasa? Miradi kama UDOM, Dege Eco Project au daraja la Kigamboni imejengwa kwa fedha za mifuko ya Hifadhi ya...
  6. G

    Wassira: Ieleweke wazi tunapoandika Katiba Mpya Sera ya CCM ni Serikali 2 kuelekea 1 na Siyo vinginevyo

    Wananchi wa Nchi gani?Maana hafahamu kuwa kabla ya 1964 lilikuwa na Tanganyika Huru na Zanzibar Huru,Muungano ulikujaje vile? Kwanini Tanganyika ipoteze vyote kwa sirini Zanzibar ikibakiziwa kila kitu isipokuwa mamlaka? Muungano wetu unawakandamiza na kuwapendelea wahusika wake?CCM ni zao la...
  7. G

    Wito wa Maandamano makubwa kulaani Serikali kushindwa kuleta maji ya uhakika kwa miaka 60

    Yote hayo ni ukweli mtupu,tunaumizwa bila sababu za msingi.CCM wamekosa ubunifu wa kuiletea nchi yetu maendeleo.
  8. G

    Tetesi: PhD aliyopewa Mwigulu Nchemba ipo kwenye hati hati ya kufutwa

    Kama ndivyo sisi wengine itabidi tutangulie jehanamu ambako kutakuwa opposite ya hapa tulipo.
  9. G

    Nchi mbili zilizoungana, Tanganyika ina watu mil 59.8, Zanzibar ina watu mil 1.8

    Tukaunda Muungano wa Mchongo ili tuishi Kimchongo zaidi. Ndiyo maana sisi Wananchi wa Tanzania tunataka kuandika Katiba Mpya ya Nchi yetu. Mengine yote ni upotoshaji.
  10. G

    Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120

    Makosa haya ya kitakwimu zimefanyika kwa makosa au makusudi? Ukiangalia idadi ya watu 2022 ni 61,871,120 huku ukijumlisha idadi ya wanawake 31,687,990+ wanaume 30,281,130 ni sawa na watu 62,218,120 na siyo 61,871,120.Vipi hapo?
  11. G

    Tundu Lissu amjibu Biswalo Mganga kuhusu madai yake kuwa ni kosa la jinai kuongeza maneno kwenye Wimbo wa Taifa

    Yawezekana ila wapo ndani ya box hawana neno,wanajaribu kuwa Neutral na CCM wanafahamu kuwa hawana madhara.Wameufyata! Tusidanganyike,kuna pande mbili tu katika Tanganyika nazo ni CCM vs Wananchi au watetezi wa CCM na wapinzani wa CCM au ukipenda tunaodai Katiba Mpya vs CCM &Serikali. Katiba...
  12. G

    Tundu Lissu amjibu Biswalo Mganga kuhusu madai yake kuwa ni kosa la jinai kuongeza maneno kwenye Wimbo wa Taifa

    Huko CCM kuna mwenye akili za kibinadamu anaweza kubaki humo?Akili ni nywele.
  13. G

    Rais Samia amemaliza ziara ya Mkoa wa Geita bila kuruhusu wananchi kuuliza maswali?

    Usitegemee tofauti na hivyo.Wanapiga mno.
  14. G

    Pamoja na kusuasua ujenzi wa bwawa la JNHP lafikia 74%

    Leo umeongea kitu ambacho watu wenu walibisha kuwa ukosefu wa mvua siyo tatizo.Kwamba zitanyesha kwa ajili ya bwawa hilo na ratiba ya kulijaza maji ikatolewa,wakati wa upigaji huwa hawaoni,hawasikii wala kufikiria athari zinazoweza kutokea baadaye. Ubishi ni fani yao ili wale 10% zao...
  15. G

    Pamoja na kusuasua ujenzi wa bwawa la JNHP lafikia 74%

    Hivi ni mimi tu ndiye ninaona tatizo kwenye hoja hii?Marehemu alikuwa akiujenga mradi wa JNHEP kwa fedha zake binafsi?
Back
Top Bottom