Recent content by Gellangi

  1. G

    GE2025 CCM iliyopo madarakani inaikosoa CCM iliyopo madarakani

    Unajikosoa hata unapokuwa ukiamini haujakosea?CCMhaijawahi kukiri kukosa chochote tangia 1992 na pia wametekeleza,Iweje sasa unakuja na spinning ya kujikosoa!
  2. G

    GE2025 Rais Samia amekumbwa na nini? Mbona anajivuruga kiasi hiki kwenye hotuba zake

    Hizo cha mtoto,SSH leo kapaliwa na upepo.Hapo wangekuwepo wapinzani huu mtanange ungenoga sana,muda siyo mrefu ataenda check up.
  3. G

    GE2025 Nasikiliza hotuba zake, hazina uhalisia

    Alimemezeshwa vilivyomo kwenye mini bajeti ijayo.
  4. G

    Mzee Kikwete hawezi kuacha kulitumikia taifa kama Rais Mstaafu eti kwa kuogopa vitisho vya Maaskofu

    Zile ni fedha za Umma,hakuna Cha Hisa wala nini.Wizi ulifanyika na wahusika ni Viongozi waliokuwa madarakani wakishirikiana na Mafisadi Papa.
  5. G

    Mzee Kikwete hawezi kuacha kulitumikia taifa kama Rais Mstaafu eti kwa kuogopa vitisho vya Maaskofu

    Tuletee wewe mtaaluma,ila haujajibu nilichokuuliza.
  6. G

    Kitendo cha Maaskofu wa TEC kuomba NOVENA na Rais kukimbilia kikao cha Maimam ni kuligawa Taifa kidini

    Yeye ndiye aliyefadhili na kuandaa kikao Cha maimam kumpigia Kampeni zake alizoanza kabla ya Ratiba ya Tume aliyoiunda mwenyewe.Haambiliki.
  7. G

    Tukizingatia Exchange, deni la taifa ilibidi lipungue

    Mpaka October litakuwa Trillion 130 maana wanakopa fedha bila kuzitumia ipasavyo,wanaziiba na kuzificha huko huko nje. Matumizi hewa yanazidi tunachokusanya.Huu ni Mto hauwezi kutunza maji.
  8. G

    Msaidieni apumzike. Yanayoendelea hayana comeback

    Anacho kiburi chake mwenyewe akidhani kuwa Bora kuliko wanawake wote,wamemtisha kiasi kwamba sasa anaendeshwa kama Mkokoteni na hawampi nafasi ya kutafakari ndiyo maana unaona shughuli baada ya nyingine.Atakuwa anaishi saloon, dressing table na kwenye podiums. She was been captured long time...
  9. G

    Mzee Kikwete hawezi kuacha kulitumikia taifa kama Rais Mstaafu eti kwa kuogopa vitisho vya Maaskofu

    Wataje kwa majina wale waliobeba 70% ya ESCROW ndipo uje tujadili kama unavyotaka kutuaminisha hapa.Waliokwapua fedha zetu ni nani?
  10. G

    Mzee Kikwete hawezi kuacha kulitumikia taifa kama Rais Mstaafu eti kwa kuogopa vitisho vya Maaskofu

    Wewe kakufanya/kakupa nini Hadi umsifie kwa kiwango hicho?Wizi wa ESCROW Account ulifanyika na wanamtandao,kanisa halikupewa mgao maana siyo wanufaika wa ufisadi ule.
  11. G

    Askofu Dallu: Kiongozi Ukistaafu ondoka, usijifanye mshauri, Serikali ina mipango yake

    Serikali inao washauri wake wanaolipwa kwa Kazi hiyo, Kikwete aliteuliwa lini kuwa mashauri wa SSH?
  12. G

    Tanzania: Deni la Taifa lafikia trilion 116

    Achana na kauli ya wachambuzi(Madalali) kudai eti linadhibitika, siyo kweli maana hatuoni mpango wowote wa deni kulipika.Kilicho dhahiri ni kuwa deni linaongezeka kwa sababu tunaendelea kukopa kwa matumizi ya kawaida. Zingatia walichosema IMF kwamba mzigo unazi kutuelemea.Tanganyika inabeba...
Back
Top Bottom