Ile sanamu haiakisi taswira ya Mwl.J.K.Nyerere hata kwa kidogo.Sifahamu kama kulikuwa na ulazima wa kuichonga tena voluntarily ilhali hatuna msanii sahihi?
Je,Familia yake imeshirikishwa kikamilfu?Je,gharama zake zililipwa na nani kuanzia scratch hadi uzinduzi?
Tunajazwa upepo huku tukitabasamu!
Pascal,utakuwa umefanya jambo jema sana kama kweli utahojiana na huyu Mwamba.Wenye Akili zao wote wanamkubali Lissu kama Big Brain for our Country.
Mungu anazo njia zake za kutuonyesha ishara.
Je,boda boda ni ajira?Kama ni ajira,ujira wa boda boda ni shilingi ngapi?
CCM walituambia Mh.Lema hana nauli ya kurudi Tanzania toka Canada,karibu sasa wanaanza kupoteza maneno kutokana na hotuba yake.Pengine ni vema wanaanza kutafutia Gambo kazi ya boda boda maana kwenye Ubunge sahau kama...
Adhabu ya kutojitambua ni kuibiwa jasho lao kisheria (Kandamizi) baada ya Serikali kukopa/kuchota kinyemela fedha za wastaafu wetu na kujengea miradi isiyokuwa na tija bali sifa kwa wanasiasa?
Miradi kama UDOM, Dege Eco Project au daraja la Kigamboni imejengwa kwa fedha za mifuko ya Hifadhi ya...
Wananchi wa Nchi gani?Maana hafahamu kuwa kabla ya 1964 lilikuwa na Tanganyika Huru na Zanzibar Huru,Muungano ulikujaje vile?
Kwanini Tanganyika ipoteze vyote kwa sirini Zanzibar ikibakiziwa kila kitu isipokuwa mamlaka?
Muungano wetu unawakandamiza na kuwapendelea wahusika wake?CCM ni zao la...
Tukaunda Muungano wa Mchongo ili tuishi Kimchongo zaidi.
Ndiyo maana sisi Wananchi wa Tanzania tunataka kuandika Katiba Mpya ya Nchi yetu.
Mengine yote ni upotoshaji.
Makosa haya ya kitakwimu zimefanyika kwa makosa au makusudi?
Ukiangalia idadi ya watu 2022 ni 61,871,120 huku ukijumlisha idadi ya wanawake 31,687,990+ wanaume 30,281,130 ni sawa na watu 62,218,120 na siyo 61,871,120.Vipi hapo?
Yawezekana ila wapo ndani ya box hawana neno,wanajaribu kuwa Neutral na CCM wanafahamu kuwa hawana madhara.Wameufyata!
Tusidanganyike,kuna pande mbili tu katika Tanganyika nazo ni CCM vs Wananchi au watetezi wa CCM na wapinzani wa CCM au ukipenda tunaodai Katiba Mpya vs CCM &Serikali.
Katiba...
Leo umeongea kitu ambacho watu wenu walibisha kuwa ukosefu wa mvua siyo tatizo.Kwamba zitanyesha kwa ajili ya bwawa hilo na ratiba ya kulijaza maji ikatolewa,wakati wa upigaji huwa hawaoni,hawasikii wala kufikiria athari zinazoweza kutokea baadaye.
Ubishi ni fani yao ili wale 10% zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.