Unajikosoa hata unapokuwa ukiamini haujakosea?CCMhaijawahi kukiri kukosa chochote tangia 1992 na pia wametekeleza,Iweje sasa unakuja na spinning ya kujikosoa!
Mpaka October litakuwa Trillion 130 maana wanakopa fedha bila kuzitumia ipasavyo,wanaziiba na kuzificha huko huko nje.
Matumizi hewa yanazidi tunachokusanya.Huu ni Mto hauwezi kutunza maji.
Anacho kiburi chake mwenyewe akidhani kuwa Bora kuliko wanawake wote,wamemtisha kiasi kwamba sasa anaendeshwa kama Mkokoteni na hawampi nafasi ya kutafakari ndiyo maana unaona shughuli baada ya nyingine.Atakuwa anaishi saloon, dressing table na kwenye podiums.
She was been captured long time...
Wewe kakufanya/kakupa nini Hadi umsifie kwa kiwango hicho?Wizi wa ESCROW Account ulifanyika na wanamtandao,kanisa halikupewa mgao maana siyo wanufaika wa ufisadi ule.
Achana na kauli ya wachambuzi(Madalali) kudai eti linadhibitika, siyo kweli maana hatuoni mpango wowote wa deni kulipika.Kilicho dhahiri ni kuwa deni linaongezeka kwa sababu tunaendelea kukopa kwa matumizi ya kawaida.
Zingatia walichosema IMF kwamba mzigo unazi kutuelemea.Tanganyika inabeba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.