Recent content by Geita1

  1. G

    Madudu ya ligi kuu, supersport yapangua ratiba, kisa kuonyesha bure mechi za ligi, yanga yakataa

    Nadhan ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia..c lazima Yanga ikubali ina haki ya kukataa ikiona hakuna haki inayotendeka mbona mnaitolea sana macho hii timu kwan ndo timu pekee hapa tz hao TFF na super sport bado wanaweza kui exclude na kuchagua timu nyingine c lazima yanga..kuna mtibwa toto...
  2. G

    Simba yaidai Azam bilioni 1.5/-

    Mtani komaa ulipwe chako...naona msomali anachekelea amepata pa kuwasahaulishia wana Simba
  3. G

    mjini hakuna wazee

    Haha Ng'ombe hazeeki main
  4. G

    Azam na 'football optimists' wetu.

    Kukereka na kupata kichefuchefu hizo ni dalili za wachawazito kuwa makin ndugu watu mtaendelea kupiga kelele kwa sana tu but they will continue to be the giants na kubeba ndoo msahau
  5. G

    Azam na 'football optimists' wetu.

    C bure wewe Unatakiwa upelekwe milembe naona kuna nati zimeachaia
  6. G

    Matatizo Simba Sport Club

    Ndetichi SIMBA Aliyevaa ngozi ya AZAM
  7. G

    Aden Rage:Mpango wa kujenga uwanja umeishia wapi/

    Afadhali Yanga kuna kitu kinaendelea tangu watangaze upembuzi yakinifu wa uwanja mwishoni mwa mwaka jana na wakatoa wakatoa mda wa upembuzi kukamilika hadi mei na kweli tumeona ripoti imetolewa na kwa mujib wa uongozi ujenzi unatarajiwa kuanza julai..ni kweli ujenzi haujaanza lakini haihitaji...
  8. G

    Azam na 'football optimists' wetu.

    Hahaha mtoa mada amesema mpira wa tanzania umeingiliwa na virusi viwili vya Usimba na Uyanga na kwamba c tu TFF bali hata serikalini virusi hivyo vimeenea swali langu je kama virusi hivyo vipo TFF hadi serikalin vp kuhusu hapo azam kuanzia kwenye uongozi wa kampuni,uongozi wa timu yenyewe na...
  9. G

    Yanga kufanya kufuru Afrika Mashariki...

    Naona watu roho zinawauma kweli kweli ila bas tu hawana jinsi..mioyoni wanakubali ala midomoni wanapingana na ukweli roho za kwa nii zimewatawala..Kwani waturuki bado hawajamaliza kuchora ramani ya uwanja wa bunju? Au ndo zile zinazolipamba jukwaa la ssc,
  10. G

    Azam na 'football optimists' wetu.

    Mkuu Nyerere hao jamaa hata sio wanaspoti ni wapiga kelele wa AZAM lakin wanashindwa tambua kelele za chula hazimzuii ng'ombe kunywa maji
  11. G

    Azam na 'football optimists' wetu.

    Naona kila mmoja anajifanya kuipaka azam mafuta kwa kutumia mgongo wa chupa kwa kujifanya kuzikandia hizi timu kila mtu mjuaji na kutafuta sifa za kijinga...YANGA itaendelea kuwa yanga na SIMBA itaendelea kuwa simba hata iweje yupo wapi MANCITY na pesa sake na usajili wake wa kufa m2..mdau mmoja...
  12. G

    Yanga kufanya kufuru Afrika Mashariki...

    Ok! Inawezekana hayo unayosema yakawa ni ni kweli kwa hizi klabu mbili lakini pia acha kukariri kila siku ni jumapili soma alama za nyakatia, namaanisha kuwa mambo huwa yanabadilika kulingana na wakati sasa hivi YANGA chini ya uogozi uliopo madarakani wamedhamiria kufanya kitu kwa vitendo kuitoa...
  13. G

    Yanga kufanya kufuru Afrika Mashariki...

    Unadhani wanategemea mfuko wa malkia wa nyuki aka mrs LIBOLO?..in short watu wabwabwaji type yako wapo tu siku zote na wataendelea kuwepo hata uwanja utakapo kabidhiwa na wakashuhudia bado wataendelea kubwabwaja tu...vp nasikia malkia wa nyuki anaongoza benchi la ufund kusajil wachezaji, kazi...
  14. G

    maskini simba..chali tena

    Wape pole kabisa hao jamaa na wanakaribishwa hata kwa mkopo azam kupoza machungu ya vipondo vya libolo na ushindi wa kubahatisha lakini msimu ukiisha warudi kwao wakajipange hahaha!
  15. G

    ..."Anselim Kapotelea Wapi"...

    Huyu jamaa sijui ana ban ya moderator au ya wife mda mrefu haonekan jukwaa hili
Back
Top Bottom