maskini simba..chali tena

maskini simba..chali tena

Geita1

Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
22
Reaction score
10
Inatia huruma kwa mtani kwa mwendo kama huu wa kubahatisha ushindi na kudundwa siPati picha kama ataweza chomoa kwa wanakishamapanda wanaoiaga ligikuu kwa vyovyote vile hawatakubali kufungwa na mrs libolo labda mama yao malkia wa nyuki amwage mpunga wa kutosha kwa toto ukizingatia nao wana njaa kali vinginevyo waandike maumivu tu...nawaonea huruma sana mashabiki wa simba wanaojificha kwenye kivuli cha azam kukwepa fedheha na aibu ndogo ndogo endeleen kabisa kumiminika kwa waoka mikte maana hata rake kawakamata kisawasawa
 
Hutakiwi kuwapa pole,unakumbuka mwaka 1989 walikuwa wa ngapi?
 
ni mapito tu wana simba, ipo siku watatukubali!!!

Mtani vp maoni yako kuhusu mapinduzi ya mzee wa kibaatola upo upande gani ni wale wanaomuunga mikono na miguu Rage au ni wale wa mpira pesa
 
we mtoa mada.tulia uandike vizuri,hujatulia utadhani uko peke yako sebuleni ukajamba mara wakwe zako wakaingia na sebuleni hakuna hata mtoto wa kumsingizia......haya tuambie matokeo yalikuwa ngapi ngapi?
 
Poa tu ndio mambo yametukuta, hata kwenye maisha kuna ups n down hatuwezi kata tamaa.
 
Hutakiwi kuwapa pole,unakumbuka mwaka 1989 walikuwa wa ngapi?

Wa pili kutoka mwisho, kurugenzi dodoma ndo ilikuwa ya mwisho tukkaponea mechi za african sports na coastal union plus droo ya Yanga!!!
Sijui nipo sahihi!
 
mimi simuungi mkono Rage, soka na siasa ni vi2 viwili tofauti!
 
sasa wengine mtasma umri umeenda na kwamba taaanza kushindwa kuwinda. Hilo halipo haya ni mapito tu
 
polee zako mwana wa malkia wa nyuki..
Wape pole kabisa hao jamaa na wanakaribishwa hata kwa mkopo azam kupoza machungu ya vipondo vya libolo na ushindi wa kubahatisha lakini msimu ukiisha warudi kwao wakajipange hahaha!
 
Back
Top Bottom