Ndugu Watanzania na wazalendo wa nchi hii napenda kutoa ushauri kwa viongozi wa CHADEMA. Jeshi la Polisi limejipanga kukabiliana na kuzuia maandamano ya 1/09/2016. Siku ya leo 22/08/2016 magari ya Jeshi la Polisi zaidi ya kumi na sita yamezunguka jijini Mwanza akina mama na wazee walikuwa...
Aisee Watakaoandamana Wanatakiwa Watumie Vilevi Kwa Wingi Magari Ya Jeshi La Polisi Takribani Kumi Na Sita Yamepita Maeneo Ya Nyansaka Baadhi Ya Watu Walikuwa Wanalia Wakidhania Vita Imeanza Pale Pasiansi Sokoni Wamelia Sana Akina Mama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.