Recent content by GEE2PATEL

  1. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania UTAFITI: Juma Nature alikuwa maarufu wakati wake zaidi ya Diamond Alivyo maarufu kwa wakati wake

    Diamond anatumia nguvu nyingi sana kujitangaza, wakati Kina Juma walitangazwa na mziki na kupendwa bila kuhonga maredion
  2. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania After 2025 we need moral and spiritual awakening for the country to recover from Magufuli’s presidency

    We kumbe ni praise team? Huwezi kuwa na uelewa juu ya sentence hiyo hapo ni kwamba jiwe anaambiwa ni dictator na CCM inaingia madarakani Kwa Mabavu
  3. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania Wa Lissu na Magufuli ni upepo unaovuma kwa kasi na utapita tu, kuna atakayeshindwa vibaya battle hii

    Kwahiyo mlipanga mapema kwamba hata ubunge asiupate kabisa?????
  4. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania Rais Magufulli hawazii tena kuleta maendeleo ya Nchi ya Tanzania

    uzi huu utasababisha wengine si tupigwe tu ban bali kutaftwa na TCRA maana mpak sasa anatonesha machungu yetu
  5. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania Sikuwahi kudhani kama Rais huyu mstaafu ananung'unika ila nilipenda wosia wake nilipomtembelea kwake

    Nimeupenda ujumbe nadhani huyu atakuwa mzee wa msoga kama siyo Mwinyi , maana Mkapa anafungukaga tu bila uoga anasema ninyi ni malofa ipo siku atamwambia na wewe lofa kubwa usijinasibuu cc nchonga aliyebaki
  6. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania Kumbe hata BBC wanaiba nyuzi za Jf

    Yes I agree
  7. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania Kumbe hata BBC wanaiba nyuzi za Jf

    Kweli JF kiboko mtu analeta idea na watu wanaiba na kuboresha
  8. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania Kumbe hata BBC wanaiba nyuzi za Jf

    Ya BBC imepostiwa leo, ila hiyo ya hapa JF ni ya Muda
  9. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania Kumbe hata BBC wanaiba nyuzi za Jf

    Nimeupata ulikuwa uzi wa Britanicaa Je, unajua jinsi ya kujiliwaza uwapo ndani ya ndege wakati wa turbulence? Pitia hapa na uongeze ujuzi - JamiiForums
  10. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania Kumbe hata BBC wanaiba nyuzi za Jf

    Niliwai kusoma uzi hapa wa jinsi ya kujiliwaza unapokuwa kwenye ndege, nimeona na Bbc swahili leo wameiandika, idea hii wameipata hapa, kuna uzi ngoja niusake nitauweka, Nimeupata huu ni wa kitambo kidogo wa Memba anaitwa britanicca Je, unajua jinsi ya kujiliwaza uwapo ndani ya ndege wakati...
  11. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania Nitamtetea Rais wangu, Magufuli

    Tatizo lissu na Zitto hawajui kwamba wanajisumbua walipo huko
  12. GEE2PATEL

    JamiiForums Tanzania Uongo Wa Jenerali Ulimwengu Kuhusu Ukuu wa Wilaya

    ndiyo ni wa katoro ibwera ila alikuja na mama yake na akalelewa kama wa pale pale
Back
Top Bottom