Recent content by Gee-zo

  1. G

    WADADA wasiojua KUCHEZA na KUDANSI kunako sherehe na club dance.

    kumbe nawe hujui kumong'onyoa mauno!
  2. G

    Diamond akiwa Malaysia

    bila shaka we ni pung.a kidizain flan,mwanaume kamili hawagi hivo,punguza tabia za kike dogo
  3. G

    Degree ya SUA pesa yako tu

    Ivi leo ni chuo gan ambacho lecturers hawaombi na kula viuno vya dada ze2 kisha kuwapa maksi?je hii sio rushwa,je suala hili lipo sua tu?,lecturer mmoja au wawil wakiomba rushwa kwa matakwa yao binafsi,je chuo kizima wala rushwa?!.Tuache ushabiki na 2jenge hoja.
  4. G

    Kukaa jinsia mbili tofauti kwenye seat ya bus

    sijui nina damu ya kunguni!,yaan kla safar lazma nikae na kizee au kiajuza,duu ni noma 2pu!
  5. G

    Mshindi wa redds miss Tanzania ni Happiness Matimanywa toka Dodoma

    Miss ata kiswahili hajui vizuri,na yuko very proud na hali hyo!kwel tz ni zaid ya uijuavyo
  6. G

    MBOWE, LIPUMBA NA MBATIA, ni wanafiki na Maadui wakubwa wa Taifa hili. Tuwakatae kwa nguvu zote

    kumbe na wewe ni gamba!ndo maana unabishaga hovyo hovyo kule jukwaa la elimu..
  7. G

    Onyo: Darasa huru la ndoa kwa wanaume pekee...?!

    Kula tano mleta uzi".Nakumbuka cku moja tcha alikuwa anamwaga mbungi clas khs choice criteria za mke,akasema anashangaa sn vjana 2meweka mbele zaidi mwonekano wa nje(na inye likiwemo!) ktk kuchagua mwenza,akaendelea..,kwamba mkishaingia kwenye ndoa t.a.k.o linakosa mashiko kabisa na watakaoliona...
  8. G

    Wadada Wengi Wa Mjini, Watoto Wa Masikini Tunaishi Maisha Yasiyompendeza Mungu! Mungu Tusaidie!

    Haka ka lara1 huwa sikaelewagi principles zake ni za mlengo upi!ila kanaonekana kana kichwa chamoto kanafaa kuwa ka mke kema kwan katakupa changamoto za maisha!
  9. G

    Nini tofauti kati ya muungano na shirikisho?

    Wazanzibar mwende zenu 2mechoka na ulalamishi wenu wa kila siku,tena pale kariakoo mlivojazana,hatutaki kuona m2 pale muumgano ukishafikia tamati!
  10. G

    the best UNIVERSITY in TANZANIA

    Maskin jukwaa limeingiliwa na virus,ivi vyuo havijafunguliwa1 awa nyoya wawe bze na vijitest!
  11. G

    HESLB Inachukua Maamuzi Gani Juu ya Hili

    Si lazma uwaataarifu bodi!eg unahama toka koz ya miaka m3 kwenda koz ya miaka3 haina tatzo na sio lazma uinotify bodi.ila jina lako na mkopo vitakua vinapitia kwenye list ya koz yako ya awali!
  12. G

    Wale tuliosoma advanced mathematics -pure- ni topic gani ilikutoa povu na ipi uliionea

    mi logic ata unisurprise na swal sa iv nalinywa fasta!ngoma proba1,ni balaa 2pu toka olevel..,nakumbuka kwenye pepa ya 4m4 nlianzaga na swal la prob1,kipengele ki1 kikanidindia zaid ya nusu saa nakomaa nako lkn wapi!
  13. G

    SMS kwa Kusaga na Clouds FM

    Kudadeki,wakithubu2 kumwapproach bb yangu ntatoa m2 ngeo!,hivi watoto na wajukuu wa hao mabibi hawaon km wanadhalilishwa pia?
Back
Top Bottom