Recent content by Gee kay

  1. G

    Nahitaji Msaada wa kisheria kumkamata mwizi

    TCRA nishawaona wanadai Polisi ndo wawapelekee taarifa lakini bado hawajapewa
  2. G

    Nahitaji Msaada wa kisheria kumkamata mwizi

    Naomba ndugu wana JF mnisaidie ni hatua gani naweza kuzifuata za kisheria ili kuweza kumpata mhusika wa mwizi wa laptop ambaye baada ya kuiba laptop alipiga simu na kuomba kiasi cha fedha ili aweze kurudisha laptop hizo .Namba yake ya simu bado inapatikana mpaka sasa naongea naye na anakiri ndo...
  3. G

    Notes za UDSM

    Nicheki pm kwa ds
  4. G

    Musoma Technical High School

    we acha tu ilijulikana kama marking scheme ya mkoa wa Mara
  5. G

    Musoma Technical High School

    wale wote waliopitia Musoma tech tujikumbushe kidogo maisha ya pale
  6. G

    Orientation week UDSM

    unaambiwa nenda yombo unajikuta cafeteria2
  7. G

    Orientation week UDSM

    Leo first year UDSM wameanza orientation week nitaendelea kuwapa updates kwa kile kinachojili maeneo ya Nkrumah na Yombo pia Smart card
  8. G

    Waliopata mkopo UDSM 2014/2015

    Special Faculty Requirement
  9. G

    Selection UDSM 2014/2015

    samiu hayumo
  10. G

    BSc in Textile Engineering yavamiwa UDSM

    We acha kudanganya mbele ya umma udsm ajachukuliwa kilaza pale. tatizo we hulikosa sifa za kuja hapo
Back
Top Bottom