Recent content by GAZETI

  1. GAZETI

    JamiiForums Tanzania “Demokrasia Yetu: Je, Tumenaswa na Maslahi ya Wachache?”

    Katika historia ya kisiasa ya Tanzania, mjadala kuhusu urithi wa utawala wa awamu ya tano chini ya Hayati John Pombe Magufuli umekuwa mkali na wenye mitazamo kinzani. Wapo wanaoona kipindi hicho kama zama za nidhamu, maamuzi ya haraka na nidhamu ya kazi. Lakini upande mwingine wa hoja hauwezi...
  2. GAZETI

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Shule inauzwa Dodoma mjini, bei ni Tsh. Milioni 250

    Unataka kununua?
  3. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

    Public
  4. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

    Huwa anapenda sana kuangalia katuni, na michezo mingine ya watoto.
  5. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Samsung kuleta simu inayojikunja kama karatasi, utanunua?

    Sitanunua.
  6. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

    Jirani yangu ana mtoto wa Darasa la kwanza ambaye anasumbua sa kwenda shule, hivi ninavyozungumza dogo yuko hospitali, kapigwa mpaka kazimia. Hii sio mara ya kwanza kupata kipigo kizito ingawa ni cha kwanza kupelekwa hospitali. Lengo sio hiyo habari kama kuna wataalam wa malezi na Saikolojia...
  7. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana

    Huyu mkewe ni Mtanzania?
  8. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Dkt. Mpango, Tumepoteza Mzalendo ndani ya Mfumo (System)

    Yaani huyu hamnazo kabisa alitaka tujaziwe tozo
  9. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Tetesi huanza na minong'ono

    Nani?
  10. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Kuna mlipuko umetokea Israel ikidaiwa ni Kisasi cha Iran

    Mnaongea mambo yenu huku mnatuhusisha na watu wa madrasa hivi tumewakosea nini?
  11. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Magaidi wachinja maskini wanavijiji 38 DRC

    kuna jambo haliko sawa katika hizi taarifa, kamwe hayo mambo hayawezi fanywa na mtu anayehudhuria ibada mara tano kwa siku..... Kamwe hao si waislamu.
  12. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Tabora: Anayeidai TRA Milioni 986, Ramadhani Ntuzwe adaiwa 'kujiua kwa risasi'

    Rest in Peace Hamza.
Back
Top Bottom