Recent content by GAZETI

  1. GAZETI

    “Demokrasia Yetu: Je, Tumenaswa na Maslahi ya Wachache?”

    Katika historia ya kisiasa ya Tanzania, mjadala kuhusu urithi wa utawala wa awamu ya tano chini ya Hayati John Pombe Magufuli umekuwa mkali na wenye mitazamo kinzani. Wapo wanaoona kipindi hicho kama zama za nidhamu, maamuzi ya haraka na nidhamu ya kazi. Lakini upande mwingine wa hoja hauwezi...
  2. GAZETI

    Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

    Huwa anapenda sana kuangalia katuni, na michezo mingine ya watoto.
  3. GAZETI

    Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

    Jirani yangu ana mtoto wa Darasa la kwanza ambaye anasumbua sa kwenda shule, hivi ninavyozungumza dogo yuko hospitali, kapigwa mpaka kazimia. Hii sio mara ya kwanza kupata kipigo kizito ingawa ni cha kwanza kupelekwa hospitali. Lengo sio hiyo habari kama kuna wataalam wa malezi na Saikolojia...
  4. GAZETI

    Kuhusu Dkt. Mpango, Tumepoteza Mzalendo ndani ya Mfumo (System)

    Yaani huyu hamnazo kabisa alitaka tujaziwe tozo
  5. GAZETI

    Kuna mlipuko umetokea Israel ikidaiwa ni Kisasi cha Iran

    Mnaongea mambo yenu huku mnatuhusisha na watu wa madrasa hivi tumewakosea nini?
  6. GAZETI

    Magaidi wachinja maskini wanavijiji 38 DRC

    kuna jambo haliko sawa katika hizi taarifa, kamwe hayo mambo hayawezi fanywa na mtu anayehudhuria ibada mara tano kwa siku..... Kamwe hao si waislamu.
Back
Top Bottom