Katika historia ya kisiasa ya Tanzania, mjadala kuhusu urithi wa utawala wa awamu ya tano chini ya Hayati John Pombe Magufuli umekuwa mkali na wenye mitazamo kinzani. Wapo wanaoona kipindi hicho kama zama za nidhamu, maamuzi ya haraka na nidhamu ya kazi. Lakini upande mwingine wa hoja hauwezi...
Jirani yangu ana mtoto wa Darasa la kwanza ambaye anasumbua sa kwenda shule, hivi ninavyozungumza dogo yuko hospitali, kapigwa mpaka kazimia.
Hii sio mara ya kwanza kupata kipigo kizito ingawa ni cha kwanza kupelekwa hospitali.
Lengo sio hiyo habari kama kuna wataalam wa malezi na Saikolojia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.