Wazee habari zenu,
Kwanza juzi kwenye kusaka harakat za kupeleka mizigo bhna nilipata mteja yupo river side ubungo sasa nimetoka kariakoo nikafika had pale na boda nimetulia napiga simu inatumika mara inajikata khe si nikashuka nikasogea hadi sheri pale kupiga simu huku boda iko pembeni.
Mara...
Wakuu habari zenu, naombeni maelekezo pale kwenye kipengele cha academic qualification nimeweka course mbili, moja nilikosea naomba msaada wa kuondoa course moja ase maana hamna sehem ya kudelete kuna edit nikiedit kuweka ile nyingine nambiwa tayari ipo so nataka nifute ambayo nilikosea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.