chukulia ungekuwa ndio moja wa askari wetu wazalendo umejificha nyuma ya key board unatapika utumbo, haki ya mama ningekuja kukutoa kama kibaka.
askali wetu shupavu na wanaakili.
siasa za awamu hii zinawachafua ila wenye busara hukaa kimya na si kukimbiza aliewavua nguo huku bado hujajisitili
You idiot. Unategemea mwanasiasa awe easy. Lazima uwe tough kuwa clean all time.
This guy makonda is a baby tete, anategemea nguvu badala ya politic science. He is a politician not army officer.
Solution zake lazima ziwe za kisiasa, atumie sauti kudhibitisha wapinzani wake kyinesha hawapo...
Best wai unazani nikulalamika,? Kwann asijisafishe kwa kila tuhuma ili waumbuke wabaya wake? Kwann anakaa kimya?
Mengine wachanikaae kimya probably ni siasa.
Alienda kufanya nn clouds na wanajeshi wenye siraha usiku wa manane? Jibu tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.