Nadhani watu wengi siku hizi hawakutani mara kwa mara na maandiko au vitabu mbalimbali kama ilivyokuwa zamani.
Zamani kulikuwa na utamaduni wa kusoma vitabu vingi kulikuwa na maktaba hata mashuleni, na mtu alijikuta anatengeneza utajiri mkubwa wa maneno kutokana na vile alivyokuwa akisoma.
Kwa...
Ndugu muandishi, nadhani huenda uliandika kwa haraka kiasi kwamba hukupitia kwa makini makosa ya uandishi yaliyopo. Ningependekeza uyafanyie marekebisho kidogo kwa mfano: neno sahihi ni "uandishi" siyo "uhandisi", na "Muhanga" badala ya "muanga" (ingawa waswahli wanasema neneo sahihi ni...
Wasukuma wengi wala michembe matobolwa “dini ni koti la mvua” inaonyesha mtazamo ni kwamba dini huvaliwa inapohitajika, lakini si lazima kuwa msingi wa maisha yao.
Makadirio yangu binafsi labda takribani asilimia 70 ya watu wa jamii hii wanafuata mfumo wa kijadi ujulikanao kama Welelo, ambao...
Ni kweli kabisa niliyosema yaweza kuonekana kama nadharia, hasa tukitazama hali halisi ya kisiasa ilivyo sasa, ambapo ushindani wa kweli kwenye sanduku la kura unaonekana kufifia kutokana na muingiliano wa mamlaka na mfumo usio huru. Hata hivyo, hoja yangu inalenga mizizi ya tatizo: utamaduni...
Wanaweza kkushinda maana tabia ya wananchi kuchagua wabunge kwa msingi wa umaarufu badala ya sifa stahiki.”
Ni wazi kuwa katika historia ya siasa yetu, tumeona wabunge wasiokuwa na sifa au uwezo wa kutosha kushinda chaguzi si kwa sababu ya sera au uwezo wao, bali kutokana na umaarufu wao au...
wakati mwingine lugha hutafsrikana kutokana milindimo ya sauti kulingana na. matamishi yake Kiswahili ni lugha ya syllable-timed rhythm na Kingereza ni lugha ya stress-timed rhythm mimi nimesikkia tofauti ila waweza nikosoa nikiwa siko sawa kkulingana na matamshi yake naona kama kasema I...
The recurring narrative that shifts agency to ‘her advisers’ subtly undermines her capacity for independent thought and decision making often intentionally so.”
mbona una ni attack kama ndo nimesema mimi nilikuwa najaribu kufafanua kwa aliyesema kuwa code ngumu nikasema mimi nilichokielewa ni hicho kulingana na mwandishi
Acknowledged. Yet, indications suggest they’re responding to echoes rather than the signal itself. If verified timestamps hold, then the frontline had already advanced past the trigger point. Some analysts argue that the grid was already hot before the tremor registered. The timing speaks louder...
mimi nilivyoielewa nu kuwa
Kuna kikundi cha watu waliokuwa wakitekeleza mpango wa siri wa kuvuruga au kuleta mtafaruku nchini (huenda kisiasa, kiusalama, au kiitikadi).
Watu hawa wanajifanya watu wa kiroho, wahubiri au viongozi wa jamii, lakini kwa ndani ni mawakala wa ajenda ya kigeni au isiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.