habar, naomba msada ktk hili jana nlienda ofic za uhamiaji nkawakuta badhi ya wafnyakaz hawajavaa sare nlipo uliza nkambiwa wale pia service providers ila co maafisa uhamiaj, je kuna aina iyo ktk taasisi ile, na kama zipo nafas zake znapatikanaje pamoja na vigezo vyao.