Recent content by gasscan

  1. G

    Nafasi za kazi nchi za nje

    jmb, vp na mie nkutafute nazitaka izo ishu
  2. G

    MSD medical store

    sawa sawa mkuu hatuitaj mana ya maneno km anajua bc atueleze, co kuanza kujifanya anajua virefu vya maneno shabashhh
  3. G

    Kama kijana hujaaajiriwa pita hapa

    0713332644 niad mkuu
  4. G

    MSD medical store

    jamn naomba msada hwa jamaa ajira zao zipoje wnatangaza au vip, naomba ufafanuz kw anaelewa habar zao
  5. G

    immigration

    habar, naomba msada ktk hili jana nlienda ofic za uhamiaji nkawakuta badhi ya wafnyakaz hawajavaa sare nlipo uliza nkambiwa wale pia service providers ila co maafisa uhamiaj, je kuna aina iyo ktk taasisi ile, na kama zipo nafas zake znapatikanaje pamoja na vigezo vyao.
  6. G

    Nida

    habar jmf, knatarfa hawa jamaa mamlaka ya vitambulisho vya taifa (nida)wanatarajia kuajir soon 2015, mwenye tarifa izo atujuze, tunasugua sana vijiweni
  7. G

    Nina Diploma ya Procurement

    haina soko iyo
  8. G

    ajiraa

    habar jmf, jaman naombeni mtujuze izo nafas za kaz mwakani hakuna ajira election periods.
  9. G

    Fire and rescue

    habar jmf, hawa jamaa ajira zao vip kimnya had mda huu wkt vikos vyote vishatangaza na mwakan hakuna ajira,election periods
  10. G

    JWTZ latangaza nafasi

    mkuu iyo habar haitambuliki na wala hakuna kit icho sasa soon jitarishe utatwambia kwamana ipi ukamua kupost kitu kam iko
  11. G

    ajira TANAPA

    sijakuelewa mkuu
  12. G

    ajira TANAPA

    habar wanajf, naomba msada ktk hili, vikos karibia vyote vishatangaza nafas, je kw hawa tanapa utaratibu wa kujiunga upoje na koz zao wanafanyia wap?
  13. G

    Magereza wameita wateule wao tayari

    habar wana jamii wenzng, hem tuekane sawa hawa vikos vya ulinzi kwnn wmeingia mood ya kuchkua vijana uraian wakt vijana tel wapo JKT? halaf utaskia km unataka ajira ya vikos uende jkt pumbaffffff
  14. G

    Vijana tujiajiri

    tujiajir vijana wenzangu tusingoje serikali mana sirikali haina nafas za kutosha tukawekwa sote, samak toroli watafanya nan
  15. G

    Nafasi za JKT

    mkuu habar xx inakuaje vikos vyote wachkue nje? huoni km wanaondoa dhana nzima ya JKT
Back
Top Bottom