Recent content by Garincha

  1. G

    Natafuta nafasi ya kazi

    Kupata kazi i think ndio target ya kila m2
  2. G

    Natafuta nafasi ya kazi

    Sawa kaka.but nitajie na na nyengine
  3. G

    Natafuta nafasi ya kazi

    Nimehitimu stashahada(diploma) ya ununuzi na ugavi(procurement and logistic mangagement)ktk chuo kikuu cha ZANZIBAR UNIVERSITY(zu).ninauzowefu mzuri.nimefanya mafunzo ya vitendo ktk Ofisi ya Rais Fedha,Uchumi na mipango ya maendeleo.pia ktk kampuni ya kitalii ya Mazsons hotel ltd.vile vile...
  4. G

    Nafasi za kazi Qatar

    Mumeanza tena.hebu tizama wale mabaharia wanaochukuli wilaya ya temeke na ilala.mbona hamkuzungumzia.hamuoni km ni ubaguzi.kwani cc tunaoishi wilaya nyengine hatutaki?
  5. G

    Natafuta kazi

    Poa majigo but kama kuna maelezo yoyotu juu ya nafac za kazi hapa tz naomba unipatie.
  6. G

    Natafuta kazi

    Nina diploma in procurement and logistic management.uzoefu nimeupata nikiwa field president's office finance,economic and development planing.zanzibar.naomba msaada
  7. G

    Hivi tutafika?

    Hali ya maisha hapa nchini hubadilika day to day,kiukweli hali ni ngumu.na ukiangalia viongozi we2 wanasema hali ya ugumu wa maisha imepungua kwa kiac kikubwa.so wapi tunaenda?
Back
Top Bottom