Habarini wanajamvi,
Kwa anayefahamu alipo Joshua Nassari aliyekuwa mbunge wa Arumeru kuptia Chadema anifahamishe maana ni muda sijamskia au ndo aliunga mkono juhudi kimya kimya.
Nawasilisha
Kwanza niwatake radh wale wote walio kwazika ktk tofaut za madarasa kama zlvo onekana kwny uzi. Ukwl ni kwamba simu ninayo tumia kuna baadh ya maneno yanajiandka yenyw adi nashndwa kuelewa na mm sio mtundu wa izi cmu kubwa kuset nashndwa labda mpaka nimtafte jamaa aliye niuzia anisetie apo...
Ilikuwa ni miaka ya 2005 ningali darasa la tano huko iringa vijijini (sitataja jina la kijiji)! Kutokana na hali ngumu ya maisha babu yangu alikua akijshughulsha na kilimo pamoja na kuuza nyanya walau tupate kula na kuishi. Babu alikua akzfata nyanya vjiji vya jiran na kuna mda mbali zaid hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.