Yuko wapi Joshua Nassari?

Yuko wapi Joshua Nassari?

Mwombeni Zitto Kabwe azushe kuwa wasiojulikana wamemteka. Hapo baada ya masaa atajitokeza kukanusha huo utekaji.
Zitto bwana, wenzake wanamtupia umbea yeye anaubeba kichwani anakatiza nao sokoni huku akipiga mayowe. Mara ajua. Awe makini tu.
 
Mwombeni Zitto Kabwe azushe kuwa wasiojulikana wamemteka. Hapo baada ya masaa atajitokeza kukanusha huo utekaji.
Zitto Kabwe kachoka hana jipya, Kisiasa kwisha kabisa kwani Wahenga hawakoseagi. Walisema njia ya muongo ni Fupi
 
Yupo humu kila siku, na kule Twitter pia.

Screenshot_20200102-150402_Twitter.jpg
 
Kadogo janja kalipiga hela ya ccm Mbowe akakastukia mapema


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habarini wanajamvi,

Kwa anayefahamu alipo Joshua Nassari aliyekuwa mbunge wa Arumeru kuptia Chadema anifahamishe maana ni muda sijamskia au ndo aliunga mkono juhudi kimya kimya.

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom