crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,860
- 2,957
Zitto bwana, wenzake wanamtupia umbea yeye anaubeba kichwani anakatiza nao sokoni huku akipiga mayowe. Mara ajua. Awe makini tu.Mwombeni Zitto Kabwe azushe kuwa wasiojulikana wamemteka. Hapo baada ya masaa atajitokeza kukanusha huo utekaji.

