haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,823
- 4,557
Alisemaje?Kuna neno toka kwa Nkurunzinza alimwambia dokta wake awaambieni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisemaje?Kuna neno toka kwa Nkurunzinza alimwambia dokta wake awaambieni.
.........Za chini chini naskia kashafariki alfajir hii....sema wameficha bado😛😛😛
Umesemaje?
Njia ya muongo ni fupi☺☺BBC waongo hata haya hawana
Muhimbili hawatibu corona . Corona ina vituo maalumu vya kutibia . Hospital ya muhimbili haimo
Njia ya muongo ni fupi☺☺BBC waongo hata haya hawana
Muhimbili hawatibu corona . Corona ina vituo maalumu vya kutibia . Hospital ya muhimbili haimo
Pole sana mkuu.Pole sana mkuu. Mimi pia ni muhanga wa hii Covid 19. Huko Morogoro wamezikwa wafanyakazi wangu wawili wa mashambani,Dodoma Zuzu kule wamezikwa 2,Dar jirani zangu 3.
Alisikika mama mzazi wa Nkurunzinza akimuuliza mwanae.Mbona wewe hujafa,Msiba wako lini?
BBC imeonyesha report kwenye tv kutoka tanzania ikionyesha serikali ikizika waliokufa kwa corona usiku wa manane.
Pia wamemuhoji Daktari wa Muhimbili aliyefunguka kuwa watu wengi wanakufa wakiwemo marafiki zake kwa Corona, amesema ni aibu na inatisha kwamba serikali inasema ugonjwa umeisha.
Pia BBC wameonyesha clip ya mchekeshaji Idriss Sultani akicheka picha ya Rais na kueleza kwamba mchekeshaji huyo aliwekwa jela kwa kosa la ajabu la kumcheka Rais.
Pia BBC wamemuhoji Zitto Kabwe aliyesema kwamba Serikali inaficha ugonjwa wa corona kwa kutaka watanzania wote wapate corona watakaokufa wafe na watakaopona wabaki na kinga.
Ukiwa msituni usiulize "eti Faru anafananaje?"Kwani majority ya watanzania tunao changia Jamiiforums tunaishi Tanzania ipi? kuna mambo mengine huhitaji media kujua kina choendelea nchini, nani kati yetu ndugu au rafiki yake kafa kwa corona wewe mwenyewe ukaona? corona ipo lakini sio kwa kiasi ambacho BBC wana taka kulazimisha ,watuw wako aware na wana chukua tahadhari, kwani ni fashion nchi kuwa na idadi kubwa ya maambuki ya corona na kutangaza duniani? au nongwa ni pale Tanzania kusema haina corona? , mimi naona tunalaumu serikali kwa vitu ambavyo imesha chukua hatua ,gonjwa kama lipo halifichiki utaliona tu kama sio kwa familia yako ni kwa jirani yako, tuchukue tahadhari ndio kitu cha msingi.
Mbona marekan husem kwenye rate kubwa ya corona na Bado watu nyomi wameandamaa barabaran bila tahadhar yeyoteKampeni za uchaguzi huu sijui zitaendeshwa kwa style gani maana kule kwa Pierre majibu ya msongamano wa watu tumeshayaona tayari.
Hahahaaaa!!!Naangalia hapa BBC world news tangu asubuhi hakuna habari kama hiyo na ishu .mtoa mada utakuwa umelewa mbowe wawili hapo
Nakubali kabisa mkuu,na hata Nkurunziza hajafa wala nini hawa bbc ni mawakala wa mabebeberu tu.Mbona marekan husem kwenye rate kubwa ya corona na Bado watu nyomi wameandamaa barabaran bila tahadhar yeyote
Hao BBC wanafk tu Kama wanafk wengne
Mama yake Nkurunzinza alisikika akisema hivi hivi kumuunga mkono mwanae.Mbinu inayotumika na serikali ni nzuri sana. Naunga mkono kwa 700%
Kifo Ni kifo tu we ongea kinafk TU usipokufa na corona utakufa kwa case nyingne hakuna atakaeish milele tunatofautiana sek,dakika,SAA,siku na miez TU ila kifo hakieupukik hata ufungiwe ndani utakufaa tuuNakubali kabisa mkuu,na hata Nkurunziza hajafa wala nini hawa bbc ni mawakala wa mabebeberu tu.
Nkurunziza yuko zake visiwa vya bahama huko anakula zake bata tu.
Nakubali kabisa mkuu tena zaidi ya 100% kwamba barakoa inafanana na titi la mtu mmoja hivi.Kifo Ni kifo tu we ongea kinafk TU usipokufa na corona utakufa kwa case nyingne hakuna atakaeish milele tunatofautiana sek,dakika,SAA,siku na miez TU ila kifo hakieupukik hata ufungiwe ndani utakufaa tuu