Huwezi kutolea mfano vitu viwili visivyofanana,Libya walitumia mtutu lkn sisi tunatumia sanduku la kura,Gadafi aliongoza kidikteta sisi kidemocrasia,mbona mifano ya kufanana iko mingi tu,kwann asiseme Nigeria walivyofanya kwenye uchaguzi? Magufuli mwenyewe anajua kabisa anatolea mifano vitu...
Tatzo la propaganda za ccm haziendi na wakati uliopo,hz propaganda ni za kizamani sana,kwanza kwa mgombea urais kupokea wanachama wa kawaida au viongozi wa matawi wa chama pinzani ni kumshusha magufuli heshima yake.Amkeni nyie magamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.