Busega ni kwetu sasa hali kama hii co nzuuuri kabsaaa,,nashukur sanaaa kwa kutujuza mkuu ngoja tuanze kushughulkia hii inshu kuanzia kesho mambo yatakuwa pouwa huyo kamani na mwenzake chegeni ugomvi wao usituletee sisi shidaa
Mambo ya siasa yana mambo mengi sanaaa mkuu ndo maana watu wanasomea siasa,,na ndo maana mie huwa sipendi sanaaa kujaji chama flan sijui kmefanya hv hv no sifanyagi hvyo aisee kila vyama huwa vnamakosa yake makubwa tu...
Nimewaona wote humu wapumba....kabsa mtu hata hata ajawa mbunge wa viti maalum rasmi af mnaanza kumponda hvyo na wakat bado ana safar kubwa sanaaaa,,watanzania bana mtu akshavuka hatua moja mnaanza kuponda hata kabla hajapita hatua ya pili nyie mafal..... kweli yan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.