Kwa hiyo wakati mwendakuzimu anapoteza watu, anaua hovyo, marisasi hovyo hovyo aliagana na Mungu au unajipa upofu? Mbona unaongea KINYUME na matendo ya huyo mtakatifu wako ambae pia ni mwendakuzimu?
Kwa taarifa yako mleta mada ni kwamba mara tu baada ya kifo cha mwendakuzimu kutangazwa wanyama wafugwao hasa wale wenye miguu 4 na 2 walikufa Sana kwa kichinjo na watu waligonga supu, mchemsho, nyama choma etc, katika hao waliosherehekea wamo babu zako, wakubwa zako aina mbalimbali, wapo walimu...
Amekuwa mbunge kwa miaka Arobaini na pia amekuwa spika wa Bunge ana vyeo lukuki pia amekalia vyeo vingi Sana hivyo kwa nafasi alizoshika plus ujasilia Mali alonao hicho kiasi cha kawaifa sana
Usisahau wazigua wa handeni huko tanga yaani huko hali ni chafu sijawahi ona, mtu analala chumba kimoja na bata, kuku, beberu yaani hwaa hwaa, kwiyoo kwiyoo, prruh bere bere phrh phr Hilo ni beberu hapo ccm moyo kwatu wanagawa sahani, yebo yebo, etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.