Recent content by gambe96

  1. gambe96

    Masikitiko : Yanga kushuka daraja

    YANGA SC 2018/2019
  2. gambe96

    Wachezaji wa Yanga SC wagomea mazoezi

    Wachezaji wa Yanga wamegomea mazoezi ya leo Ijumaa, huku benchi la Ufundi wakibaki na mshangao kwenye Uwanja wa Polisi Kurasini jijini Dar es Salaam. Akizungumza na MCL Digital, Meneja wa Yanga, Salehe Hafidhi amethibitisha kwamba wachezaji watatu wageni ndio waliojitokeza kwenye mazoezi ya leo...
  3. gambe96

    Dismas Ten akanusha taarifa za kujiuzulu Yanga SC

    BAADA ya Taarifa kusambaa kwamba Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten ameandika barua ya kujiuluzu nafasi yake ndani ya timu hiyo, kiongozi huyo ameibuka na kukanusha habari hizo zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii. Ten aliliambia Mwanaspoti leo Ijumaa kwamba hajafikilia kuiacha Yanga katika...
  4. gambe96

    OPERATION GOTHIC SERPENT: Nguvu ya Itikadi, Imani na Ushujaa uliotukuka

    [emoji122] [emoji122] [emoji122] The bold
Back
Top Bottom