Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,649
- 218,102
Huku pazia la Ligi kuu ya Vodacom likikaribia kufunguliwa wachambuzi wengi wa soka nchini Tanzania wanatambua matatizo makubwa yanayoikabili timu ya Yanga , wengi wanaongelea chini kwa chini uwezekano wa Yanga kushuka daraja.
Mimi nimeamua kujitokeza waziwazi na kutamka hadharani kwamba timu kongwe nchini Tanzani , Yanga ya Dar es salaam msimu huu wa ligi ITASHUKA DARAJA na kusambaratika , Hii siyo ramli bali ni ukweli kwamba ili timu iendelee kubaki ligi kuu inahitaji ushindi , kwa sasa YANGA HAIWEZI KUIFUNGA TIMU YOYOTE YA LIGI KUU , na inakabiliwa na aibu ambayo haijawahi kupata pale itakapokumbana na Mnyama .
Kama huifuatilii hii timu unaweza kudhani uzi huu ni wa masihara lakini muda ni mwalimu mzuri , Endeleeni kufuatilia
Mimi nimeamua kujitokeza waziwazi na kutamka hadharani kwamba timu kongwe nchini Tanzani , Yanga ya Dar es salaam msimu huu wa ligi ITASHUKA DARAJA na kusambaratika , Hii siyo ramli bali ni ukweli kwamba ili timu iendelee kubaki ligi kuu inahitaji ushindi , kwa sasa YANGA HAIWEZI KUIFUNGA TIMU YOYOTE YA LIGI KUU , na inakabiliwa na aibu ambayo haijawahi kupata pale itakapokumbana na Mnyama .
Kama huifuatilii hii timu unaweza kudhani uzi huu ni wa masihara lakini muda ni mwalimu mzuri , Endeleeni kufuatilia