Mimi naona kama WANAIGIZA... kuzomea/ kuropoka OVYO / kutoka toka NJE OVYO/
kuzunguka zunguka Na KITI mda wote OVYO/
kula KALAMU/
hivi iyo ndio suluhisho ya hoja zinazofukiwa??
Wanaotetea CHAMA na sio waTANZANIA..
Inakera sana na ni aibu kutumia madaraka yako kukandamiza hoja za wengine...
Kwa harakati hizi za kuvuana magamba katika vyama kuna dalili ya kuibuka kwa muswada bunge lijalo kuhusu MGOMBEA BINAFSI 2015 au kuibuka kwa chama kingine cha siasa.
Via
habari kutoka kwa makala mbalimbali za waandishi wa magazeti yasiyo ya udaku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.