Recent content by galukaliguda

  1. G

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wajue wabunge 10 Walikouwa wabunge na kushinda kura za maoni kisha kukatwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

    Awamu ijayo nchi itaendeshwa ki mfumo jike zaidi
  2. G

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wajue wabunge 10 Walikouwa wabunge na kushinda kura za maoni kisha kukatwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

    Unaamini hiyo ndo sababu ya kukatwa jina lake??
  3. G

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kuzinduliwa Kwa Daraja la Magufuli (Kigongo-Busisi), Jiji la Mwanza Kuipiku Dar Kiuchumi

    Hivi unajua kabla ya Dar kipindi hicho mzizima kuwa mji mkubwa,mji mkubwa na wa kibiashara ulikuwa ni upi hapa Tanganyika?
  4. G

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwanza isipate Uwanja mzuri wa mpira?

    Ni kwa sababu Mwanza ina wapiga kura wengi sana wa CCM, sehemu yenye wapiga kura wengi huwa haipaswi kupelekewa maendeleo makubwa sanaaaa!!!
  5. G

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Hata Mbowe naye alikimbia Nchi wakati wa Magufuli sio sisi tu

    Mbona sasa hivi hawakimbii au asali imekolea!!!?😃
  6. G

    JamiiForums Tanzania International airport ndani ya Serengeti ni makosa makubwa kiuhifadhi

    Hao wana chuki na mkoa wa Mara,, mkoa wa Mara pia unahitaji kufunguliwa kumbuka ndo muasisi wa Taifa hili alipozaliwa
  7. G

    JamiiForums Tanzania Wadada siku hizi sijui ni aibu hawana au ndo haki sawa kwa wote?

    Na ndo walikuwa watamu na papuchi za moto siku hizi papuchi ni za baridi kinyama
  8. G

    JamiiForums Tanzania Kati ya Ilala dar es salaam na nyamagana mwanza . Wilaya ipi imeendelea?

    Ila kuna watu huwa sometime tunajizima data 😆
  9. G

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

    Kuna watanzania wanasikitisha sana,,,hawa ndo wanaoshangilia hadi matundu ya vyoo
  10. G

    JamiiForums Tanzania Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?

    Eti hili nalo ni jiji,,,, mbeya ni zaidi ya kuzimu 😆 Tanzania tuna majiji mawili tu Dar na Mwanza mingine ni vijiji vilivyochangamka
  11. G

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

    Kwa hiyo unataka kusemaje? Au unazuzuka na Dar is slum!!
  12. G

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

    Rock City paradise of the world
Back
Top Bottom