Una uhakika na uloonge mpuuzi wewe....au ili mradi unacomment uonekane nigome kwa kisa gani...km huna la kushauri kaa kimya...tunajua humu NIDA wapo na watatupa majibu ya nn cha kufanya...SAWA
Bora useme wewe ....Mimi nI mmoja wapo jina langu halipo halafu wananiuliza eti ulijiandikisha hapa?...WTF ....wakati me ni mzawa zaidi ya miaka 20 hapo....nitakua mjinga nikatafute jina langu wkt sikuandikisha...huu ni upuuzi na uzembe wa NIDA...sielew hatma yangu coz hata hao serikali ya mtaa...
Kitimoto ale tani yake....ht paka na kunguru akitaka....narudia hatuna sharti za kijinga...naona dalali barelawyer kaandika no Kitimoto....KWANZA HATUHITAJI MADALALI....kwenye nyumba yetu
1) sijapiga kwa kujificha ndio maana mpk ndani nimepiga...hiyo nyumba ni mpya so kuna some parts kulikua na vifaa vya fundi so sikuona sababu ya kuharibu picha
2)sijafanya kusudi kuzigeuza as zilikua sawa wakt naziupload mara nakuta zimejigeuza...ila pic si zinaonekana
Sio guest ni room za kawaida za kuishi for single person...like mwanachuo hivi..si wote tunapenda kubanana room moja watu wanne au sita.....some need privacy....
Habari..napenda kuuliza..hapa tanzania kuna makampunI yanayotoa sponsorship..
As wanakusomesha humu humu ndani ya nchi...si lazma uende nje ya nchi..lets say mtu hajapata mkopo wa bodi..ila chuo kapata.?, je hayo mashirika yapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.