Kinachoendelea ni sahihi, maana msiba upo kwa wazazi wake. Hata kama angekuwa na familia kwa kuwa wazazi wake wapo msiba unakuwa kwa wazazi.
Ila wazazi kama wangekuwa wamefariki sawa msiba kuwa kwake.
Wahandisi wanashindwa kusimamia kazi za ujenzi ndio maana Serikali inapoteza fedha nyingi za ujenzi. Wanaacha kukaa site na kuona kama BOQ zinafuatwa na Contractors.
Jamaa kashindwa kusoma vipimo maana vipo tofauti na BOQ inavyosoma. Jiandaeni kisakolojia Wahandisi miaka ya upigaji...
Hakuna hasara Serikali haifanyi biashara. Ukisema hasara imepatikan utaitwa mchochezi.
Polisi kimoyo moyo wanampongeza Mange kwa kuwa wamelipwa posho ya operation maalum.
Hongera sana Mange umefanikiwa sana, maana mimi nilikuelewa kuwa mandamano ni ya wireless. Kweli hakuna alienda barabarani...
Cheti chako ulimpatia binamu yako akapata kazi, wakati wa uhakiki iligundulika cheti kimoja kinatumiwa na watu zaidi ya mmoja. Hilo ni dhahiri baada ya rufaa nusu yao watakuwa ni wenye vyeti halali, nusu nyingine hawana vyeti.
Serikali ilaumiwe wapi sasa? , Hapo ni pongezi kwa kazi nzuri kwa...
Kamalizie madasa uliyobakiza. Kasome uchumi wa hata kidato cha sita tu itasaidia wewe kuandika vitu vya maana hapa JF vinginevyo wewe endelea na magroup yako ya Whatapp.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.