Recent content by Galacha Maestro

  1. Galacha Maestro

    Ulaji wa mafuta wa coaster ni lita ngapi?

    Sure njia ya babati arusha ina miinuko. Ika haina rough road
  2. Galacha Maestro

    Ulaji wa mafuta wa coaster ni lita ngapi?

    Nilidhani njia kwakuwa ina miinuko kiasi fulani ndio inachangia. Pamoja na keria na abiria. Itabidi niende kwa fundi pump ili nijue tatizo ni nini
  3. Galacha Maestro

    Ulaji wa mafuta wa coaster ni lita ngapi?

    Nifanyaje nikihis daladala itapunguza ulaji kiasi fulani.
  4. Galacha Maestro

    Ulaji wa mafuta wa coaster ni lita ngapi?

    Kiasi gani inatakiwa ndio iwe ulaji wake wa kawaida.??
  5. Galacha Maestro

    Ulaji wa mafuta wa coaster ni lita ngapi?

    4.6 to 4.8 ikiwa na mizigo kwa keria na abiria.
  6. Galacha Maestro

    Ulaji wa mafuta wa coaster ni lita ngapi?

    4.6 to 4.8 ikiwa na mizigo kwa keria na abiria.
  7. Galacha Maestro

    Ulaji wa mafuta wa coaster ni lita ngapi?

    Je coaster ikiwa na abiria na mzigo inakula mafuta lita 1 kwa kilometa 4 je ni sawa. Aina ya coaster ni 1hz. Ina miaka 2 tu. Na je ulaji wa kawaida wa mafuta ni kiasi gani. Ikiwa na mizigo na watu.?? Coaster hiyo inafanya kazi babati arusha.. Na je kwa ulaji huo ikageuzwa daladala ulaji...
  8. Galacha Maestro

    Msaada kuhusu mwendokasi wa gari

    Gari imepigwa tochi ya 90. Ila gari inayo king'amuzi na ikifikisha speed 85 kinatoa sauti. Polisi wanasema ni kosa tumezidi 80na wametupiga faini. King'amuzi ni kizima hakijawahi kushikwa na speed inasoma sahihi. Latra wanasema hatujazidi 83. Na polisi wanataka kumweka dereva ndani tufungue...
  9. Galacha Maestro

    Msaada kidogo kuhusu hili

    Gari imepigwa tochi ya 90. Ila gari inayo king'amuzi na ikifikisha speed 85 kinatoa sauti. Polisi wanasema ni kosa tumezidi 80na wametupiga faini. King'amuzi ni kizima hakijawahi kushikwa na speed inasoma sahihi. Latra wanasema hatujazidi 83. Na polisi wanataka kumweka dereva ndani tufungue kesi...
Back
Top Bottom