Recent content by GAGNANT

  1. GAGNANT

    Bila kutangazwa Tenda waarabu wapewa Bandari, Ngorongoro, Mwendokasi na KIA

    😂😂😂 Twaha Mwaipaya is so funny
  2. GAGNANT

    TEC yashinda tuzo ya taasisi bora ya kidini inayosimamia misingi ya haki nchini

    Hongera TEC kwa kusimama kwa ujasiri,weledi,umahiri na uaminifu uliotukuka katika kusimamia misingi ya haki. Haki huinua taifa.
  3. GAGNANT

    Uzi Maalum kwa ajili ya kupeana Salamu na Heri za Christmas na Mwaka Mpya 2026

    "THE NEW YEAR IS A JOURNEY TO BE DISCOVERED."- POPE LEO XIV I BELIEVE IN THIS MESSAGE OF POPE LEO XIV.NIKIZINGATIA KWAMBA NYOTA YA FAMILIA YETU YENYE UWEZO WA KUFANYA MAAJABU YA MUNGU YENYE NGUVU KUBWA SANA(MOST POWERFUL WONDERS) NI VATICAN, YAANI JINA LA NYOTA YA FAMILIA YETU NI VATICAN...
  4. GAGNANT

    Uzi Maalum kwa ajili ya kupeana Salamu na Heri za Christmas na Mwaka Mpya 2026

    HERI YA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA 2026 KWA RAZIEL-13,LEFTIES NA INTROVERTS
  5. GAGNANT

    Askofu Ruwa'ichi: Watanzania hawashabikii haki, wengi kwa ujinga au kutokujua wanajidai wadau wa amani

    Yesu Kristo aliyezaliwa kwa ajili ya wanadamu na anatambulika kwa haki, mwokozi, mwenye upendo na huruma. HERI YA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA 2026 KWA WENYE HAKI WOTE
  6. GAGNANT

    Mtaweza kweli kushindana na kanisa katoliki?

    Wanashindana na kanisa la Mungu kwa kutumia propaganda wakati Mungu anaona uchafu wao wote wanaoufanya gizani,wataangamia vibaya sana. KANISA KATOLIKI NI KANISA IMARA JANA,LEO NA KESHO.HALITIKISIKI KWA NAMNA YOYOTE ILE.KANISA KATOLIKI NI KANISA LA MWENYEZI-MUNGU MWENYEWE.
  7. GAGNANT

    Tahadhari kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Taifa

    Daraja linalounganisha Tanganyika na Zanzibar litaanguka. Mimi nyota yangu ya mashariki ni Scorpio na nyota ya jua ya Magufuli ni Scorpio.Kitaalamu,nyota ya mashariki huwa ina nguvu mara tatu zaidi kuliko nyota ya jua(sun). Kwa kunitazama kupitia kwenye lenzi ya nyota yangu ya...
  8. GAGNANT

    PostGE2025 Sheikh Rusaganya: Viongozi wa dini nyingine mnaotoa matamko kuweni na adabu! Kwanini kila Rais anapokuwa muislamu mnatoa matamko?

    Mimi nimeiita tu nguvu from the dark lakini sio jina rasmi linaloweza kueleweka kwa wengi.Nguvu from the dark,ni from the dark maana mahali ambapo nguvu hiyo inatokea hapaonekani kwa jicho la nyama,huyo mwenye jicho la nyama anakuwa haoni uhalisia wa nini nguvu hiyo inafanya au anakuwa haoni...
  9. GAGNANT

    PostGE2025 Sheikh Rusaganya: Viongozi wa dini nyingine mnaotoa matamko kuweni na adabu! Kwanini kila Rais anapokuwa muislamu mnatoa matamko?

    Tatizo lenu waislamu mnajionaga mko kama yale makundi ya kijamii yanayotia huruma ya vilema,walemavu, na wanawake. Acheni kujizima data,hata viongozi wakristo walishauriwa na TEC ili wajirekebishe pale ambapo walionekana hawatendi haki,walikosolewa pia.Magufuli pia alipigwa spana za kutosha...
  10. GAGNANT

    SI KWELI Baraza la Maaskofu limetoa wito wa amani kuelekea uchaguzi mkuu

    Waroma 8:2 Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru mimi RAZIEL-13 mbali na sheria ya dhambi na mauti. RAZIEL-13 IN 13th October 2025; Monday My Thirteen-13.
  11. GAGNANT

    GE2025 Watanzania Oktoba 29 tutokeni kwa wingi lakini sio kutiki

    Usiogope kuinua sauti yako kwa uaminifu na ukweli na huruma(rehema) dhidi ya dhuluma na uongo na uchoyo.Ikiwa watu ulimwenguni kote... wangefanya hivi, wangeibadilisha dunia. Wajibu wa vijana ni kupinga ufisadi. Mtu anawajibu wa kimaadili wa kutotii sheria zisizo za haki.
  12. GAGNANT

    Pamoja na kufungiwa, Watu elfu 12 tupo online usiku huu Jamiiforums

    Nakubali. Wahaya ni magnificent brains zenye Akili kubwa.
Back
Top Bottom