Recent content by GAGNANT

  1. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania Nilichokishuhudia leo Katoro naanza kupata imani hii ni CHADEMA iliyojitoa mhanga kutetea maslahi ya Watanzania

    MUNGU NIBARIKI MIMI GAGNANT. MUNGU IBARIKI HAKI YANGU MIMI GAGNANT. MY GAGNANT PERSONALITY'S POWER. MUNGU IBARIKI BUKOBA. MUNGU IBARIKI MULEBA. MUNGU IBARIKI KATORO. MUNGU IBARIKI ISRAEL. MUNGU IBARIKI USA,MAREKANI. MUNGU IBARIKI EUROPEAN UNION. MUNGU IBARIKI ROMA. MUNGU IBARIKI...
  2. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania TEC yashinda tuzo ya taasisi bora ya kidini inayosimamia misingi ya haki nchini

    Hongera TEC kwa kusimama kwa ujasiri,weledi,umahiri na uaminifu uliotukuka katika kusimamia misingi ya haki. Haki huinua taifa.
  3. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum kwa ajili ya kupeana Salamu na Heri za Christmas na Mwaka Mpya 2026

    HERI YA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA 2026 KWA RAZIEL-13,LEFTIES NA INTROVERTS
  4. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania Mtaweza kweli kushindana na kanisa katoliki?

    Wanashindana na kanisa la Mungu kwa kutumia propaganda wakati Mungu anaona uchafu wao wote wanaoufanya gizani,wataangamia vibaya sana. KANISA KATOLIKI NI KANISA IMARA JANA,LEO NA KESHO.HALITIKISIKI KWA NAMNA YOYOTE ILE.KANISA KATOLIKI NI KANISA LA MWENYEZI-MUNGU MWENYEWE.
  5. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania Kutoka Gereza la Ukonga: Barua ya Tundu Lissu kwa Watanzania. Afafanua maana na athari nchi kuwa "banned" au kuwekewa "International restrictions"

    Huyu Lissu ndiye anastahili kuwa Rais wa Tanzania.Lissu ni akili-kubwa.
  6. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania Tahadhari kwa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Taifa

    Daraja linalounganisha Tanganyika na Zanzibar litaanguka. Mimi nyota yangu ya mashariki ni Scorpio na nyota ya jua ya Magufuli ni Scorpio.Kitaalamu,nyota ya mashariki huwa ina nguvu mara tatu zaidi kuliko nyota ya jua(sun). Kwa kunitazama kupitia kwenye lenzi ya nyota yangu ya...
  7. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Rusaganya: Viongozi wa dini nyingine mnaotoa matamko kuweni na adabu! Kwanini kila Rais anapokuwa muislamu mnatoa matamko?

    Mimi nimeiita tu nguvu from the dark lakini sio jina rasmi linaloweza kueleweka kwa wengi.Nguvu from the dark,ni from the dark maana mahali ambapo nguvu hiyo inatokea hapaonekani kwa jicho la nyama,huyo mwenye jicho la nyama anakuwa haoni uhalisia wa nini nguvu hiyo inafanya au anakuwa haoni...
  8. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Rusaganya: Viongozi wa dini nyingine mnaotoa matamko kuweni na adabu! Kwanini kila Rais anapokuwa muislamu mnatoa matamko?

    Tatizo lenu waislamu mnajionaga mko kama yale makundi ya kijamii yanayotia huruma ya vilema,walemavu, na wanawake. Acheni kujizima data,hata viongozi wakristo walishauriwa na TEC ili wajirekebishe pale ambapo walionekana hawatendi haki,walikosolewa pia.Magufuli pia alipigwa spana za kutosha...
  9. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Baraza la Maaskofu limetoa wito wa amani kuelekea uchaguzi mkuu

    Waroma 8:2 Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru mimi RAZIEL-13 mbali na sheria ya dhambi na mauti. RAZIEL-13 IN 13th October 2025; Monday My Thirteen-13.
  10. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watanzania Oktoba 29 tutokeni kwa wingi lakini sio kutiki

    Usiogope kuinua sauti yako kwa uaminifu na ukweli na huruma(rehema) dhidi ya dhuluma na uongo na uchoyo.Ikiwa watu ulimwenguni kote... wangefanya hivi, wangeibadilisha dunia. Wajibu wa vijana ni kupinga ufisadi. Mtu anawajibu wa kimaadili wa kutotii sheria zisizo za haki.
  11. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kufungiwa, Watu elfu 12 tupo online usiku huu Jamiiforums

    Nakubali. Wahaya ni magnificent brains zenye Akili kubwa.
  12. GAGNANT

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa ndege katika picha mbalimbali

    Vibrant Tropical Phoenix bird LEO ninamtafakari huyu ndege,mimi napenda kumuita ndege nyika-sura.
Back
Top Bottom