"THE NEW YEAR IS A JOURNEY TO BE DISCOVERED."- POPE LEO XIV
I BELIEVE IN THIS MESSAGE OF POPE LEO XIV.NIKIZINGATIA KWAMBA NYOTA YA FAMILIA YETU YENYE UWEZO WA KUFANYA MAAJABU YA MUNGU YENYE NGUVU KUBWA SANA(MOST POWERFUL WONDERS) NI VATICAN, YAANI JINA LA NYOTA YA FAMILIA YETU NI VATICAN...
Yesu Kristo aliyezaliwa kwa ajili ya wanadamu na anatambulika kwa haki, mwokozi, mwenye upendo na huruma.
HERI YA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA 2026 KWA WENYE HAKI WOTE
Wanashindana na kanisa la Mungu kwa kutumia propaganda wakati Mungu anaona uchafu wao wote wanaoufanya gizani,wataangamia vibaya sana.
KANISA KATOLIKI NI KANISA IMARA JANA,LEO NA KESHO.HALITIKISIKI KWA NAMNA YOYOTE ILE.KANISA KATOLIKI NI KANISA LA MWENYEZI-MUNGU MWENYEWE.
Daraja linalounganisha Tanganyika na Zanzibar litaanguka.
Mimi nyota yangu ya mashariki ni Scorpio na nyota ya jua ya Magufuli ni Scorpio.Kitaalamu,nyota ya mashariki huwa ina nguvu mara tatu zaidi kuliko nyota ya jua(sun).
Kwa kunitazama kupitia kwenye lenzi ya nyota yangu ya...
Mimi nimeiita tu nguvu from the dark lakini sio jina rasmi linaloweza kueleweka kwa wengi.Nguvu from the dark,ni from the dark maana mahali ambapo nguvu hiyo inatokea hapaonekani kwa jicho la nyama,huyo mwenye jicho la nyama anakuwa haoni uhalisia wa nini nguvu hiyo inafanya au anakuwa haoni...
Tatizo lenu waislamu mnajionaga mko kama yale makundi ya kijamii yanayotia huruma ya vilema,walemavu, na wanawake.
Acheni kujizima data,hata viongozi wakristo walishauriwa na TEC ili wajirekebishe pale ambapo walionekana hawatendi haki,walikosolewa pia.Magufuli pia alipigwa spana za kutosha...
Waroma 8:2 Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu imeniacha huru mimi RAZIEL-13 mbali na sheria ya dhambi na mauti.
RAZIEL-13 IN 13th October 2025; Monday My Thirteen-13.
Usiogope kuinua sauti yako kwa uaminifu na ukweli na huruma(rehema) dhidi ya dhuluma na uongo na uchoyo.Ikiwa watu ulimwenguni kote... wangefanya hivi, wangeibadilisha dunia.
Wajibu wa vijana ni kupinga ufisadi.
Mtu anawajibu wa kimaadili wa kutotii sheria zisizo za haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.