xo xory my, bt mjulishe mwenzio ajue ile damu yke hapo ndo atajua mwenyewe kumjali au kumpotezea,,,,,,, bt ucfe moyo wngpi wamelelewa na mama tuu nw wamewin maisha,,,,
Mambo humu,
Jamani naomba msaada wenu, mimi na mpenzi wangu sasa mwaka wa tatu' tangu nipo kidato cha nne. Kwakweli kipindi hicho chote sikupata yale mapenzi ya dhati. Nlikuwa napata dharau nyingi, matusi, hata kunichanganya na wasichana wengine. Nlikuwa naumia sana lakini sikuweza kumwacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.