Recent content by Gaga93

  1. G

    Demu wangu kaenda chuo!

    Kila mwanamke na akili nzake, kama kazoea kufunuliwa hta akiwa uraiani karibu yko, atafunuliwa tu, jenga uwaminifu kati yenu, mtafanikiwa!
  2. G

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    Pango Simba mchizi wa primary huyo,,,
  3. G

    Naomba msaada: Mpenzi wangu anaichanganya sana

    nimemaliza nw, naingia chuo mwaka wa kwanza,
  4. G

    Kuna haja ya kumjulisha?

    xo xory my, bt mjulishe mwenzio ajue ile damu yke hapo ndo atajua mwenyewe kumjali au kumpotezea,,,,,,, bt ucfe moyo wngpi wamelelewa na mama tuu nw wamewin maisha,,,,
  5. G

    Naomba msaada: Mpenzi wangu anaichanganya sana

    Mambo humu, Jamani naomba msaada wenu, mimi na mpenzi wangu sasa mwaka wa tatu' tangu nipo kidato cha nne. Kwakweli kipindi hicho chote sikupata yale mapenzi ya dhati. Nlikuwa napata dharau nyingi, matusi, hata kunichanganya na wasichana wengine. Nlikuwa naumia sana lakini sikuweza kumwacha...
Back
Top Bottom