Hip hop hailipi kuna wimbo aliimba Madee miaka ya nyuma kidogo. Moja ya mistari mikali sana alichana kwa wana hip hop
" wote wanaoshiriki bora waache wauze pipi, tucheki bongo fleva wanaendesha tu magari wenzio wa kufoka foka tutaonana mwisho wa safari, kwanza mavazi yenu mtaani mnaonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.