Naona ccm badala ya siasa kupita pembeni wanaanza kuingia kwenye ufisadi kwa staili nyingine ya mgongo wa bank fanyeni siasa ccm bank kaz kubwa, hapa tu hamna bank mnatukana, je mkiwa na bank c mta ua!!!!!!!!!!!!!
Ccm wamekula sana kodi za wanachi so wakiachia ngazi chadema itajua mengi sana hususani ujilimbikiaji wa Mali waliokua wanaufanya! Chama Kingine cdm kikiingia wamekwisha hawatapata tena Siri itakua sio siri tena
Ni kwel ccm sasa inajua kwamba kuna kila dalili ya kishidwa wanachokifanya sasa ni kuwahonga sana watu kutumia Mali/kodi za wananchi ilikujaribu kukinusuru ccm ikiwemo na umafia ndani yake!
Ccm wanatabia yakuwabeba wananchi na kuwalipa katika ushangiliaji tuuuuuh! Xo wengi mnao waona wanalipwa den wanasingizia wazalendo wasipolipwa hawonekani!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.