Recent content by GabrelChuga

  1. GabrelChuga

    University Admission Results 2020

    Ulisubmit maombi yako kweli mkuu ? Maana kama wamekwambia ucontinue na maombi yako ina maanisha huku maliza kufanya maombi na next button nadhani haionekani kutokana na dirisha la maombi kufungwa kwaio system imestopishwa
  2. GabrelChuga

    Only official released binaries

    niliipeleka kwa mafundi wakaiwekea bootloader ikakubali kuwaka ila saivi inazingua tena network inaniambia emergency call only muda wote wakati kabla ilikua vizuri.
  3. GabrelChuga

    Only official released binaries

    Naombeni msaada juu ya hili tatizo maana kila nikiwasha simu yangu inaniandikia hivyo, na hiyo ni baada ya kuirestore. Simu ni Samsung A10.
  4. GabrelChuga

    NAUZA SIMU MPYA. Karibunii

    na samsung grand prime plus kama unayo ntajie bei tufanye biashara kama itanifaa
  5. GabrelChuga

    Laptop keyboard haifanyi kazi

    natumiaje ya simu naomba nielekeze
  6. GabrelChuga

    Laptop keyboard haifanyi kazi

    hahaha amepumzika sana ananikwamisha mno
  7. GabrelChuga

    Laptop keyboard haifanyi kazi

    Habari zenu wana JF?Naombeni mnisaidie juu ya namna gani ya solve hili tatizo la laptop keyboard kuto kutype while kwenye kuingiza password inakubali ,Laptop ni aina ya Latitude 6500model
Back
Top Bottom