Mkuu m nna swal moja kuhusu freelancer nimeingia nimejisali lkn kwenye usajili wamekata kias flan kwenye account wakt na verify means of payment bado kweny ku contest saiv tena naona wanataka wakate hela nyngne tena iv inakuaje
Aisee nimepsta kitu Mungu awabariki sana vijana muwe na moyo ivo ivo wakushare madini na wenzenu... haikupunguzii chchte bali Mungu ataendelea kukufungulia zaidi
Wakuu poleni na majukumu nina shida moja nahitaji msaada kidogo kuhusu taarifa au mtu yeyote ambae ameshawai kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji katika mikoa ya Morogoro na Mbeya
1.Kianzio au mtaji kima cha chini
2.muda mzuri wa kulima
3.mbegu aina gani kutokana na msimu
4.changamoto zake...
Kwa ex0erience yangu kuhusu biashara ya mahindi ukishaona kuanzia mwez wa12 ad wa pili bei haijapanda bora uuze kwa beio ilioko sokon coz mwez wa nne na na watano mahind mapya yanaaza kuingia sokon so ni ngum sna kupanda mara nyng bei hua inapanda mwez wa pili na watatu ispopanda hapo ni bas...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.