Acha kufikiri kama masaburi mwambie baba riz awaambie mafisadi warudishe hela zikanunue madawati, kama hujui jinsi gani taifa limefaidika kutokana na kamumba kaa kimya au muulize nchimbi
mbona fedha walizoiba kina EL na wenzake hamsemi wamechangia nini wale katika taifa hili? na uyo kuchekacheka ovyo amekula ngapi? je ingekuwa wewe ndo fisadi ungefungua mdomo wako?
ana mchango mkubwa katika taifa unajifanya hujui? kubaka? uyo binti ni mtoto kwa umri tu mambo ya dunia ni mkubwa na hakubakwa amependa hakulazimishwa au unataka kuniambia uyo mtt mwanaume wa kwanza kumlala ni mpendwa wetu kanumba? unafikiria kama masaburi
chagueni chadema huenda wao hakajitahidi kuyafanya yale mnayotaka, lakini kumbukeni yeyote aingiae madarakani hatowaridhisha kwa kila jambo coz mengine yanakuwa njee ya uwezo wake na wa tz tuwe na mshikamano kama vile kenya wafanyavyo, sukari ikipanda wanaingia barabarani lakini kwetu tunabaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.