Msimamo wake umeeleweka, Msigwa kaishia kujaribu kum-attack bila ya kuchambua hoja ya kijana,eti analazimisha ngono na alifanya ubadhirifu wa laki sita.Aibu sana,wananchi wanataka kujua kwa nn huyu mwizi Lowassa anakaribishwa na kupewa fursa adhimu km hiyo?Nini misingi ya Ukawa?mkisema kumuweka...