Moja ya wizara za kwanza kabisa kuundwa mara baada ya Tanganyika kupata uhuru ni ya vijana, iiitwa "wizara ya utamaduni wa taifa na vijana" (ministry of national culture and youth).
Waziri wa wizara hiyo aliitwa Leo Nang'wanda Sijaona akitokea huko huko kwa akina Nanauka. Lakini Leo Nang'wanda...
Ktk hali isiyokuwa ya kawaida jasusi limemkimbia na kwenda kujificha mahala kuikojulikana. Jasusi hilo lililoahidi kupambana na wowote atakayelichokonoa, limekimbizwa kizembe sana na mama.
Juhudi za kufahamu mahala lilipo jasusi litokalolo peponi bado zinaendelea.
Ni kweli, kadri umri unavyokwenda marafiki wanapingua. Sababu ni:-
1. Majukumu na mtawanyiko ktk kutafuta maisha.
2. Vifo vya age mates. Watu wa miaka 60+ unakuta agemates wao wengi washatangulia mbele za haki.
3. Magonjwa. Watu wenye umri mkubwa mara nyingi afya zao hutetereka.
Ndiyo maana...
Mpk sasa Samia hana pa kutokea maana ameligusa kanisa katoliki. Sioni mwanga wa kisiasa wa mama huyu.
Sasa akimdhiru Lisu ni kwamba atakuwa anajichimbia kaburi ndani ya kaburi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.