Recent content by G - The Apostle

  1. G

    JamiiForums Tanzania Nani mkubwa kati ya Mkurugenzi wa TISS na IGP?

    Hili swali lilishawahi kuulizwa humu tukawajibu, Itifaki inamtambua CDF, IGP, DGIS, Magereza, Uhamiaji etc, huyo DGIS zamani kalikuwa ka section tu ndani ya Jeshi la Polisi Wala hata haikuwa commission.
  2. G

    JamiiForums Tanzania Trump aisifia Iran asema iliipiga Israeli kwa nguvu sana.

    Unadhani alikatisha mkutano wa G7 na akaondoka kwa dharura , usiku ambao Jengo la Mossad liligongwa na baadhi ya command centers zilikohamishiwa uraiani
  3. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki wa kiume umri kuanzia miaka 30-37

    Rafiki wa aina gani Sasa ? Au mpenzi
  4. G

    JamiiForums Tanzania Jinsi Iran ilivyoiingiza mkenge Israel ikadhani kuwa imemaliza ulinzi wa anga wa Iran

    Ili Iran aweze, apige London na NYK wakiingilia, sijui washirika wa mashariki wako wapi kiwake vema
  5. G

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mfanyakazi wa Azam Tv, Rahabu Fungo amefariki Dunia

    Bora hapo sio Mloganzila , ullkienda kutibiwa wanapewa Wanafunzi badala wakutibu wanaanza kukufanyia research, Mungu jalia niishie Hospital ndogo na binafsi
  6. G

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mfanyakazi wa Azam Tv, Rahabu Fungo amefariki Dunia

    Mwaka 2021 wakati Corona inechachamaa Wengi walidhani covid kumbe ajali
  7. G

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mfanyakazi wa Azam Tv, Rahabu Fungo amefariki Dunia

    Pumzika kwa amani Rahab, halafu sijui kwa Nini ugonjwa ukiwa unafichwa nakuwaga na mawazo Fulani?
  8. G

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Picha: Viongozi wa Dini wakiwa viwanja vya Leaders, Kuliombea Taifa Amani na Rais Samia Suluhu Hassan

    Naomba kujua Missionary Churches kama wapo, kama hawapo Hilo ni kusanyiko la wahuni kutaka wasichunguzwe utapeli wao
  9. G

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jakaya Kikwete: Niwaambie kuwa mambo mazuri ya Bukombe yasingetokea kama msingemchagua Dkt. Biteko

    Natamani JK awe Rais vurugu zipingue ukanda huu
  10. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Col Joseph Karegire wa Jeshi la Rwanda auawa huko DRC Congo

    Alienda kufanya Nini huko Rwanda, si Amri Jeshi wake kasema hajui majeshi kama yako huko?
  11. G

    JamiiForums Tanzania Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

    Wewe endelea utaelewa boya wewe, ukishika Kitecno unaanza kunya hapa. Nakuonya kwa Mara ya mwisho
  12. G

    JamiiForums Tanzania USAID haiwezi kufutwa kwa Executive Orders; watetezi kwenda Mahakamani kuzuia uamuzi wa Donald Trump

    Hii ni Taasisi inayotumika ku deploy US Spy ,deep state hawawezi kukubali ifutwe Bora Trump afe ila sio USAID
  13. G

    JamiiForums Tanzania Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

    We tukana tu tukikuminya hizo kende utaacha kutukana Jeshi letu tukuka
  14. G

    JamiiForums Tanzania Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

    Dogo usijiamini Sana hii inathibitisha wewe sio Mtanzania kama ni Mtanzania si mzalendo. Unajua gharama ya usariti kwa nchi? Shauri yako unadhani hii mitandao ni salama Sana. Wenzako wanamtambo wa kukujua kutumia data (internet) unayotumia Tena kama ni ya simu ndio wanachora tu
  15. G

    JamiiForums Tanzania Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

    Uko kwa aswile au kwa Chokola?
Back
Top Bottom