Recent content by G TARIMO

  1. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kama Wabunge wanalipwa kwa mkupuo mafao yote, basi NSSF irejeshe Fao la Kujitoa, utaratibu wa sasa unatuumiza wengi

    Hii ndo maana tunataka reforms kabsa haiwezkani hela ni yangu mkataba wangu umeisha nataka hela yangu sio mkopo wala nini bado unanipangia namna inavyotakiwa nipewe iyo hela 😔
  2. G TARIMO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu ana tabia za wizi na udokozi

    Ndo maana tulitahadharishwa mapema sana hawa watu tuishi nao kwa akili kubwa
  3. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kupika chakula geto na kununua mgahawani kipi kinatumia hela nyingi?

    Kama unatufata hela usiogope garama kwa kwa,ajili ya afya yako mara nyingi vyakula vya mgahawani hua vipo kibiashara zaidi
  4. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Ina huzunisha Nawaonea huruma sana hawa wanafunzi wa siku izi embu emagen huyo mdogo ako akifika form 4 atakua anabeba tani ya counter book kabsa kwanza hili swala ingetakiwa wizara ya Elimu ilishughulikie na itoe muongozo na taritabu ambazo zitafutwa kikamilifu na walimu
  5. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Kazi yao nikupiga piga makofi tu huko bungeni na pia watoto wao hawasomi izi shule
  6. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Shida sana kwakweli na wanavyobeba ivyo sidhani kama wakifika darasani wanaweza kufundishwa kitu na kuelewa watakua wamechoka hoi nikusinzia tu darasani hili jambo ni lakua serious kabsa wizara na yenyewe itilie mkazo
  7. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Umenikumbusha kitu pia inakuaje shule za private ndo zinafanya vizuri uki,compare na za government hata kimazingira pia private ndo iko vizuri swali. Je private wana,ela kuwazidi Gvmnt au ni vipi 🤔
  8. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Na kingine pia waalimu wazingatia ratiba ya vipindi kwenye ufundishaji sio unakuta leo ni vipindi vinne labda , Historia , kiswahili, Uraia na Hisabati Tuseme lambda mwalimu wa Historia amepata dharura ajaje ndo anatokea mwalimu wa Kingereza anaingia darasani hii haijakaa sawa kabsa kama...
  9. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Elimu ya zamani na saiv imekua nivitu viwili tofauti kabsa, tukiendelea kwa style hii ya kubeba madaftari kama gunia la viazi watoto wetu watakuja kupata shida ya mgongo sana huko mbeleni
  10. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Na siku izi kuna izi smart watch sijui wanaingia nazo kwenye mtihani yaani ni balaa tupu
  11. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Mi napatwa na asira sana nikiwaona stand uko walivyo beba mpaka wanainama , kwamba huko mashuleni hawaweki ratiba za masomo ya siku au vipi na hayo madaftari wanayobeba yote wanayatumia yote kwa siku iyo mi nadhani kuna sehemu kuna shida kwa upande wa waalimu
  12. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Hii AI inakuvyokuja kasi inaenda kuadhiri hadi uwezo wa kufikiria maana mtu kitu kidgo ashauliza AI hatari sana
  13. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Noma sana mwanangu unakuta mtoto wa darasa la nne amebeba mzigo wa madafatri mpaka unajiuliza kabeba daftari za shule nzima Na hesabu ni kuchagua ni hatari 🤔
  14. G TARIMO

    JamiiForums Tanzania Mzigo Mkubwa wa Madaftari kwa Wanafunzi Je, Hii Haileti Madhara ya Kiafya Kwenye matatizo ya mgongo

    Hii ni kutofuata ratiba ingependeza hata kama mwalimu hayupo wajisomee ilo,somo sio kuwachanganyia mambo
Back
Top Bottom