sio tu kushindwa yanatafutiwa visingizio lukuki ili yashindwe kufanyika 😂 ila kumlipa mzee Toyota billion 50 aingize hio mikoko umatumbini ni chap sana 😁
Naona unaweka ushabiki mandazi mbele kama vile una vinasaba vya kizimkazi kumbe shobo tu.
Hajasaliti raia wakati kakumbatia wezi aliowateua kama viongozi wasaidizi kwake. CAG report inaongea kila mwaka
Mfano hauko relevant, mimi sijaisaliti familia yangu. Nikishindwa jambo mke wangu atanisaidia bila hiyana kabisa. Hakuna siku ntatukanwa sababu sijatengeneza mazingira ya kutukanwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.