Recent content by g click

  1. g click

    Ni nani ameruhusu matangazo ya michezo ya kubahatisha kuanza kutangazwa tena kwenye vyombo vya habari?

    Nilikuwa nawaza kitu hiki hiki naona wamerudi mdogo mdogo kero zinarudi upya.
  2. g click

    Angalieni Star tv live NOW!

    Nimewahi kuhudhuria mazishi ya mama mmoja alikuwa akisali kwa hawa watu asee unaweza sema wamepingukiwa na akili.
  3. g click

    Tukubali kutokubaliana na uteuzi wa Mnyeti

    Ukiifikiria sana hii nchi na mambo yake unaweza ukachizi ingawa hayakwepeki
  4. g click

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Namkumbuka TL aliyaona mapema akajisemea kwa msisitizo ''tuna rais wa ajabu haijapata kutokea``
  5. g click

    DAY 64: Majadiliano ya Makinikia yanaendelea ni Serikali Vs Wazungu

    Hivi huwa wanaenda mapumziko kidogo?
  6. g click

    Awamu hii ya uongozi makabwela tunadanganywa mchana kweupe

    Tunaambiwa tuachwe tuisome namba
  7. g click

    Mechi ligi Kuu Bara: Mbao FC na Simba SC zatoshana nguvu, Kirumba

    Kila la kheri Simba SC Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom