Huyo unayesema fisadi papa anayepiganiwa na Lema ni nani??? Kama unayemsema ni Lowassa hivi visasi vinavyoendelea sasa hivi huyo unayemwita Papa si angekuwa anaoza Segerea!! Watu mbona mnajitoa akili kiasi hicho!!! Yaani mbashindwa kuzifikirisha akili zenu hata kidogo!! Shame!!!!
Akizungumza wakati akihojiwa na kituo cha Television cha Star TV Askofu Dr Josephat Gwajima amesema, "kuhusu mgogoro wa police na vyama vya siasa busara inahitajika, kwasababu vyama vya siasa vipo kisheria basi Jeshi la police lipate muda wa kuwasikiliza ili kulinda amani ya nchi maana hakuna...
Hivi alimchokoza Magufuli eeh?? Nasikia hii ni task force ya kuleta habari za uchochezi humu na wale jamaa wa Agenda ya Uharibifu!! Wameshajulikana ha ha ha ha
We lazima umetumwa!! Umejikakamua maelezo mengi, kisa askofu Gwajima kasema hakuunga mkono CCM!! Rais alichukulie hatua kanisa, kisa hakuungwa mkono, lazima unatumia ile kitu iliyokatazwa na mkuu wa mkoa!!
Dada mbona umetoka povu hivyo, hoja yenyewe haina hata mashiko!! Eti unatishia damu...
Acha Uzwazwa wewe... Mbona MaDC tayari wameshateuliwa?? Au unasubiri ukatibu wa CCM Wilaya ya namantanyeswelyembiga!! Yaani hilo kwako ni Tishio, kuliko Rais wa nchi anavyoita watu wake vilaza
Hivi Ikongo ni mtu wa kumjadili hapa, yeye kama nani mpaka aseme Gwajima afutiwe usajili!! Kikao cha hilo baraza lao kilikaa lini?? Au Ikongo amekurupuka tu kutoka Mwanga!!
Mimi nasupport maneno ya Gwajima kwa asilimia zote, wala sioni sababu ya msingi mijamaa ya Lumumba kutokwa povu na kujaza...
Na wewe hapo unaamini umeframe swali lako vizuri eeeeh!!! Poor you!! Si ungekaa kimya tu!! Kwanini tusifahamu vigezo vilivyotumika kuteua Mawaziri! Wasiwasi wake ulikuwa nini kutupa hivyo vigezo? Au kateuliwa hilo baraza??
Nape alishanukuliwa kwamba hilo swala halitajadiliwa tena!! Kimetokea nini tena hawa jamaa wanaendelea na hiyo propaganda?? Sio sawa, Bulembo akemewe, sio sawa kabisa kueneza chuki hii ua dini!! Waluteli na hao wa Gwajima wanamadhehebu ambayo ni marafiki zao!! Wanawakatoriki ma madhehebu mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.