Recent content by FYATU

  1. FYATU

    JamiiForums Tanzania Shabiki wa Yanga aliyemshambulia kocha wa Gaborone Utd akamatwe. Caf waifungie Yanga. Ushamba na upuuzi kama huu ni aibu kwa taifa letu

    Kama ameonekana basi asakwe na apate adhabu inayomstahili.Hakuna sababu yoyote ya kuwa na Mashabiki wanaoweza kuigharimu timu bila sababu ya msingi.
  2. FYATU

    JamiiForums Tanzania Lema ajitetea amuangushia jumba bovu Makamu mwenyekiti

    Mimi namfahamu Lema vizuri sqna.Itoshe tu kusema yupo smart.
  3. FYATU

    JamiiForums Tanzania Lema amefanya jambo jema, japo....?

    We jamaa,ushauli,subilia ndio nini?gabeji.
  4. FYATU

    JamiiForums Tanzania Mjumbe hauawi

    Mnachokoza mkipigwa mnaanza kulia.
  5. FYATU

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri nitawezaje kuendelea kutumia JF hata baada ya kufungiwa, maana siwezi ishi bila JF

    Imefungiwa? Hiii natumia hapa sio yenyewe?.
  6. FYATU

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Ndio matako yanavyolia mbwata hivyo na hiyo hutokea automatically hana control nayo, hivyo mkimsimanga mnamuonea bure.
  7. FYATU

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kilosa - Morogoro: Wana-CCM wadaiwa kupata ajali wakiwa kwenye lori wakielekea kwenye mkutano wa Samia Suluhu

    Wao wanajua wanachokipata hivyo wanaridhia,sisi tisichokijua ni kama usiku wa giza.
  8. FYATU

    JamiiForums Tanzania Africa tunahitaji "MANAGERS" badala ya LEADERS".

    Kama unaona hivyo basi tufanye ni aina moja wapo ya ukoloni kati ya aina kadhaa zilizopo,ila ni aina bora kati ya hizo nyingine. Ingawa mimi ninachomaanisha ni kuwa huyu Manager hatokuwa anawakilisha Nchi yake anayotokea,na atatoka kokote hata kama ni Mtanzania Mwenzetu atakayekidhi vigezo...
  9. FYATU

    JamiiForums Tanzania Sijui kwanini Magufuli alilivunja jengo la TANESCO-Ubungo, pengine Polepole atujuze!

    Ilikuwa ni namna bora sana ya kuonesha kuwa hakuna aliye juu ya sheria.Ingekuwa vipi Wananchi wavunjiwe jengo liachwe,Wananchi si zaidi ya hilo jengo? Unahurumia jengo zaidi ya Wananchi?.
  10. FYATU

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna uhusiano kwa haya maneno MSALA na MSALANI?

    Hakika nimepata elimu.
  11. FYATU

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna uhusiano kwa haya maneno MSALA na MSALANI?

    Wapi nimeandika msalalani? Na hata kama ingekuwa nimeandika hivyo ni makosa ya kuchapisha tu.
  12. FYATU

    JamiiForums Tanzania Africa tunahitaji "MANAGERS" badala ya LEADERS".

    Kuwa colonized ni kuwa fully chini ya Mamlaka ya nchi nyingine. Hicho sicho ninachojaribu kumaanisha hapo. Mimi ningetamani Africa iendeshwe kama Kampuni ambapo Manager atasimamia mambo yote mpaka ya kiutawala kama Muajiriwa, akimaliza muda wake anakuja mwingine. Kampuni itakuwa na idara...
  13. FYATU

    JamiiForums Tanzania Africa tunahitaji "MANAGERS" badala ya LEADERS".

    Waafrika ni jamii tuliyokwisha ithibitishia Dunia na hata kujithibitishia wenyewe kuwa kuna tija ndogo sana kutoka Viongozi wao. Chaguzi zimekuwa vichaka tu, ndio maana leo utashangaa nchi iliyotawaliwa na Kiongozi mmoja miaka 40 siku anapinduliwa ndio utawasikia wananchi wanashukuru kwamba...
Back
Top Bottom