Kama unaona hivyo basi tufanye ni aina moja wapo ya ukoloni kati ya aina kadhaa zilizopo,ila ni aina bora kati ya hizo nyingine.
Ingawa mimi ninachomaanisha ni kuwa huyu Manager hatokuwa anawakilisha Nchi yake anayotokea,na atatoka kokote hata kama ni Mtanzania Mwenzetu atakayekidhi vigezo...
Ilikuwa ni namna bora sana ya kuonesha kuwa hakuna aliye juu ya sheria.Ingekuwa vipi Wananchi wavunjiwe jengo liachwe,Wananchi si zaidi ya hilo jengo? Unahurumia jengo zaidi ya Wananchi?.
Kuwa colonized ni kuwa fully chini ya Mamlaka ya nchi nyingine.
Hicho sicho ninachojaribu kumaanisha hapo. Mimi ningetamani Africa iendeshwe kama Kampuni ambapo Manager atasimamia
mambo yote mpaka ya kiutawala kama Muajiriwa, akimaliza muda wake anakuja mwingine.
Kampuni itakuwa na idara...
Waafrika ni jamii tuliyokwisha ithibitishia Dunia na hata kujithibitishia wenyewe kuwa kuna tija ndogo sana kutoka Viongozi wao.
Chaguzi zimekuwa vichaka tu, ndio maana leo utashangaa nchi iliyotawaliwa na Kiongozi mmoja miaka 40 siku anapinduliwa ndio utawasikia wananchi wanashukuru kwamba...
Nimekuwa nasikia na hata wakati mwingine kuyatumia maneno haya ila sasa napata shahuku ya kufahamu kama kuna uhusiano kwa maneno haya.
Mtu atasema "umeniachia msala" akimaanisha umemuachia sintofahamu/matatizo.
Pia utamsikia mwingine anasema "naenda msalani" akimaanisha anaenda maliwato.
Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.