Recent content by FYATU

  1. FYATU

    PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Ndio matako yanavyolia mbwata hivyo na hiyo hutokea automatically hana control nayo, hivyo mkimsimanga mnamuonea bure.
  2. FYATU

    GE2025 Kilosa - Morogoro: Wana-CCM wadaiwa kupata ajali wakiwa kwenye lori wakielekea kwenye mkutano wa Samia Suluhu

    Wao wanajua wanachokipata hivyo wanaridhia,sisi tisichokijua ni kama usiku wa giza.
  3. FYATU

    Africa tunahitaji "MANAGERS" badala ya LEADERS".

    Kama unaona hivyo basi tufanye ni aina moja wapo ya ukoloni kati ya aina kadhaa zilizopo,ila ni aina bora kati ya hizo nyingine. Ingawa mimi ninachomaanisha ni kuwa huyu Manager hatokuwa anawakilisha Nchi yake anayotokea,na atatoka kokote hata kama ni Mtanzania Mwenzetu atakayekidhi vigezo...
  4. FYATU

    Sijui kwanini Magufuli alilivunja jengo la TANESCO-Ubungo, pengine Polepole atujuze!

    Ilikuwa ni namna bora sana ya kuonesha kuwa hakuna aliye juu ya sheria.Ingekuwa vipi Wananchi wavunjiwe jengo liachwe,Wananchi si zaidi ya hilo jengo? Unahurumia jengo zaidi ya Wananchi?.
  5. FYATU

    Hivi kuna uhusiano kwa haya maneno MSALA na MSALANI?

    Hakika nimepata elimu.
  6. FYATU

    Hivi kuna uhusiano kwa haya maneno MSALA na MSALANI?

    Wapi nimeandika msalalani? Na hata kama ingekuwa nimeandika hivyo ni makosa ya kuchapisha tu.
  7. FYATU

    Africa tunahitaji "MANAGERS" badala ya LEADERS".

    Kuwa colonized ni kuwa fully chini ya Mamlaka ya nchi nyingine. Hicho sicho ninachojaribu kumaanisha hapo. Mimi ningetamani Africa iendeshwe kama Kampuni ambapo Manager atasimamia mambo yote mpaka ya kiutawala kama Muajiriwa, akimaliza muda wake anakuja mwingine. Kampuni itakuwa na idara...
  8. FYATU

    Africa tunahitaji "MANAGERS" badala ya LEADERS".

    Waafrika ni jamii tuliyokwisha ithibitishia Dunia na hata kujithibitishia wenyewe kuwa kuna tija ndogo sana kutoka Viongozi wao. Chaguzi zimekuwa vichaka tu, ndio maana leo utashangaa nchi iliyotawaliwa na Kiongozi mmoja miaka 40 siku anapinduliwa ndio utawasikia wananchi wanashukuru kwamba...
  9. FYATU

    Hivi kuna uhusiano kwa haya maneno MSALA na MSALANI?

    Nimekuwa nasikia na hata wakati mwingine kuyatumia maneno haya ila sasa napata shahuku ya kufahamu kama kuna uhusiano kwa maneno haya. Mtu atasema "umeniachia msala" akimaanisha umemuachia sintofahamu/matatizo. Pia utamsikia mwingine anasema "naenda msalani" akimaanisha anaenda maliwato. Pia...
  10. FYATU

    GE2025 Mpina afika INEC kurejesha fomu ya Urais ila ameishia Getini

    Yale yale ya Marehemu Mzee Membe.
  11. FYATU

    GE2025 Dkt. Mwigulu atimba na bodaboda kuchukua fomu

    Safi sana,Uongozi ni kujishusha.
  12. FYATU

    Nimepoteza simu Polisi wameshindwa kunisaidia kabisa

    Duh,pole,hopefully utaipata.
Back
Top Bottom