bwana huyu sipati picha kwa hili lililo mbele yake akiamka usingizini wazo lake la nn kwa jinsi alivyolikologa! nakumbuka katiba ya ccm inatoa maelekezo kwa mwanachama kutolewa kafara ili kulinda chama
Wajumbe msiruhusu akili fupi kutawala akili ndefu kwani mbowe kakataa kwenda police? anakataa utaratibu unaotumika na ndio maana ndugai kasema apewe taarifa kwanza spika,mfano kama spika ana kikao na mbowe ijumaa halafu nae makonda anamwitaji hiyo siku wapi aende? kazi ya makonda iko poa lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.