Recent content by Fwimbo

  1. F

    John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

    Heche siyo tu kwamba anafaa bali kwangu Mimi kwa Kuwa kamanda Mbowe ameishasema hatogombea tena umwenyekiti wa Chama, basi huyu jamaa anafaa kumrithi Mbowe.
  2. F

    Tozo za simu: Bunge limeaibika!

    Bunge bubu na lililojaza mbumbumbu likiongozwa na asiyejitambua
  3. F

    Zitto Kabwe: ACT - Wazalendo kilianzishwa na watu watatu tu; Mimi, Kitila Mkumbo na Mwanaharakati mmoja wa kike

    Hivi vyama vingine ni vikundi vya waigizaji. Nitaendelea kuiamini CHADEMA.
  4. F

    Rais Samia, unawajua Wakenya?

    So what?
  5. F

    Ghafla JKT imegeuka kuwa sehemu ya kupata ajira. Chombo hicho kinatimiza lengo lake?

    Usifananishe hivyo vitu na masuala ya ulinzi na usalama wa nchi, haya ni mambo ambayo ni very sensitive.
  6. F

    Ghafla JKT imegeuka kuwa sehemu ya kupata ajira. Chombo hicho kinatimiza lengo lake?

    Mh! Ahadi za jukwaani za wanasiasa jeshi lizifanyie kazi? Basi hilo halitokuwa jeshi tena bali itakuwa ni green guard.
Back
Top Bottom