Recent content by Future president

  1. F

    Neno la mlevi kuhusu katiba

    Nimekutana mlevi mida hii,anasema peke yake barabarani,"katiba pendekezwa"sanduku mbili"ndio hapana" mtu kafukuzwa kazi,aisee acha nilewe
  2. F

    Madaktari wa kitanzania waenda nchi za magharibi kutoa matibabu ya ebola,je si chanzo

    Jana nilipata mshituko ambao mpaka sasa unaendelea kunistua na kuona hatari mbeleni,je wanajf hasa category ya jf doctor,kuna habari ya madaktari wa kujitolea wanaotoka tanzania eti wanaenda kutoa msaada wa utabibu wa ugonjwa ambukizi wa ebola nchi za magharibi mwa africa,nahisi hawa hawarudi...
  3. F

    Sitta: Mnyika niheshimu kama mzee na mzazi wako, Je Warioba sio mzee na mzazi?

    Unaposema bonyokwa hamna maji,barabara mbovu ndipo umuhukumu mbunge unakosea,mbunge ana kazi ya kukusemea hayo maswala bungeni na ndio mana vipindi vya bunge vinarushwa hewani ili utizame je mbunge wako anatetea mambo ya jimbo lako?kama jibu ok anatetea lakini hamna mafanikio basi hupaswi...
  4. F

    Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    Lakini sijui uwezo wako mheshimiwa labda upo kwenye kundi la watu waliobahatika kuila keki ya taifa,ila na mimi mwanzo nilikuwa na akili ya kitoto kama yako ila now nimekuwa,na pia ukigombana na mkeo unashirikisha watu?!?!
  5. F

    Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    Pili bila shaka wewe ni muslim,mana nyie ndoa hata ukiwaambia watu kuanzia asubuhi kwamba unaoa saa mbili usiku nyie ni poa,ila kristos ndoa zao ni process,then naomba umuulize baba yako,alivyofunga ndoa alichangisha au? Labda ndoa iwe ya mkeka
  6. F

    Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    Nina wazo nataka kuchangia,swala la ndoa ni deni kwa mwenyezi mungu hivyo kila mtu lazima afunge ndoa,ili tuepukane na uzinifu,na swala la mtu asichangishe watu eti kisa raha atapata yeye mimi binafsi naona ni roho ya kimaskini na choyo na pia kujifanya tumeelimika sana bila kujali kuwa ni...
  7. F

    Halima Mdee aachiwa huru

    Mtoa mada hakika ni mods
  8. F

    Natafuta chumba cha kupanga, Dar es Salaam

    Weka namba ya simu,chumba kipo magomeni mapipa
  9. F

    Full set computer,dell flat screen inauzwa

    Kwa details za haraka ram 512,hard disk 260,mengine mje mcheki wenyewe wakuu
  10. F

    Full set computer,dell flat screen inauzwa

    Full set computer aina ya dell,bei chee kabisa laki mbili mawasiliano 0659615319,hard disk 260, ram 512
  11. F

    Ofisi za umma na picha za familia,je ni upendo au misifa

    Nimeingia ofisi nyingi za umma,utakuta maafisa wameweka picha za familia zao,either picha ya mke pekee yake or picha ya mke na wato,pia kwa maafisa wa kike vise vesa,mimi binafsi najiuliza sana ni upendo wa familia au misifa tu
  12. F

    Nyumba Ya Kununua

    Humu kweli kuna mods
  13. F

    Nina mapenzi na mama yangu

    makolola sijaelewa unataka niseme nn?mapenzi linamaana nyingi
  14. F

    Nyumba Ya Kununua

    Mkuu kuna nyumba ipo magomeni mapipa mtaa wa magomeni,unatazama town ile bila shaka location iz good ipo karibu na kituo cha jangwani,upepo wa bahari wote unaupata ni mil 85
Back
Top Bottom