Recent content by FURY BORN

  1. F

    Sisi Wakristo masikini tunanufaika vipi na shule za Kanisa?

    Hili si tatizo la kkt tu, ni madhehebu yote ya kikristu pamoja Sda pia, wakati wa ujenzi mnatangaziwa kuchangia, unajitutumua kuchangia. Lakini inapofikia mtoto wako kusoma kwenye hizo shule zao sarakasi ziaanza, kwanza interview na kama mtoto hajapata wastani walio weka hata kama una hela na...
  2. F

    Video za ngono zinazovujishwa kila wakati zimekuwa kero sasa

    Kwa dunia ya leo kurekodiwa siyo lazima mtu awe amekubali, kumbuka wanaume mara nyingi ndo tunawahi kufika eneo la tukio kabla ya wanawake au mwanamke. Hivo akiwa na lengo la kukomoa au kama ambavyo picha hizo zimegeuka biashara anaweza kutega simu au camera kwa siri na kuanza urekodi kabla ya...
  3. F

    Ofisi ya Kata wanashirikiana na baba yangu mzazi kuninyima haki yangu ya mali

    Huyu bwege natamani ningekuwa moderator nimpige ban, 42yrs wana wajukuu alafu yeye anajiita mtoto si bure huyu atakuwa ni yale na kabila maarufu kwa kukwea Minazi ndo wana utamaduni wa kusubiri saana urithi.
  4. F

    Ofisi ya Kata wanashirikiana na baba yangu mzazi kuninyima haki yangu ya mali

    Leo kapunguza umri mara ya kwanza alikuja na miaka arobaini na saba. (47)
  5. F

    Ofisi ya Kata wanashirikiana na baba yangu mzazi kuninyima haki yangu ya mali

    Mimi naendelea kusimama na babako, kwa kuwa wewe akili hauna, nenda hata mahakamani haitoshinda hiyo kesi
  6. F

    Kwanini ngumu kusikia Mauaji ya wanandoa Zanzibar kama Bara

    Jibu langu siyo rasmi ila kukaa kwangu unguja kwa zaidi ya miaka 10++++ naweza kusema sababu kubwa ni kwamba huku hamna ndoa za kuvumiliana unaweza kuoa leo ukaacha kesho. Ndoa zetu nyingi bara tuna kiapo cha mpaka kifo kitutenganishe na hapo ndo tatizo linapoanzia. Mwanamke anaweza kuamua...
  7. F

    Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

    Hii ni fasihi na fasihi haijawahi kuwa na jibu moja, hivi kwenye kuchongeana unaweza tumia msemo kila mbuzi ale urefu wa kamba yake na mbona mnakula sana mpka mnavembewa? Mhari ni hali kuoneana haya pindi mtu wako wa karibu anapofanya jambo ambalo linastahili adhabu au kukanywa. Mhari, mbuzi...
  8. F

    Kwanini wanasema SUPER GRO

    Mpiga zomari
  9. F

    Wakazi wa Mahenge neema imewashukia

    Nanusa kaarufu fulani hivi, kwamba wewe umesikia lakini umesema watu mahenge neema imewasbukia, kwanza tuanze pale ulipompa hela alafu ikawaje hakukuwa na mawasiliano tena, hujaona hayo maendeleo tayari unaiita neema kwa wamahenge, je mtu mmoja kumiliki shimo la kuchimba madini ndo neema?
  10. F

    Ushauri: CHADEMA msimkebehi Dkt. Slaa baada ya kurudi nchini, mfuateni na mumuombe arudi ili awanyanyue kisiasa tena

    Yaani amnyanyue bi mkubwa wako na sisi atunyanyue hebu tutake radhi, bwashehe
  11. F

    Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

    Mkoa mzima wa Mara hauna hata naibu Waziri, hii ni dharau kwa Hayati JK Nyerere
  12. F

    Ndugai kwakuwa 'Umesanuliwa' tafadhali nawe usikubali, bali 'Kisanue' ili Watanzania tujue mengi yanayosemekana yamejificha na hayavumiliki kabisa

    Port unafikiri yeye haogopi wasiojulikana, huyu tayari ameshawekwa kundi la wasioaminika, lazima wasiojulikana wako nyuma yake, akisanua atasannuliwa na hatofanikiwa usishangae na ile kinga ya kutoshitakiwa ikaondolewa na akaelekea Segerea. Nafuu yake ni kukaa kimya kabisa
  13. F

    Job Ngugai, Spika aliyejiuzulu atalipwa 80% ya Mshahara wa Spika maisha yake yote

    Hela siyo kila kitu mkuu kwa mtu kama Job kitovaa lile joho hata umpe milioni ngapi hatokuwa sawa. Huyu atakufa very soon alijiweka kwenye level ya Miungu wa chache wa dunia hii
Back
Top Bottom